Ushauri kwa wizara ya maliasili - kuuza wanyama pori nje ya nji

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wanajamvi
Kuna tatizo kubwa serikali yetu kuingia mikataba inayolinda maslai ya watanzania

Baada ya kunagalia documentary moja ya kipindi cha wanyama pori walioko zoo moja huko ulaya mimejiuliza maswali mengi..... Lakini baada ya kujiuliza maswali nimekuja na mapendekezo ambayp yakiwekwa mikataba ya kuuza wanyama wetu nje inaweza kuwa na manufaa zaidi tuliyonayo sasa.

Pendekezo la Kwanza

Tikiwapa/Tkiwauzia wanayama wetu tuwawkeee kipengele cha hati/haki miliki ibaki kwetu. Hata wanyama wataozaliwa na yule mnyama bado iwe haki miliki yetu.Tuweke kipengele ambapo huyo myama atakapokuwa yatawekwa maandishi kuwa katoka tanzania na apewe jina la kitanzania . Tuweke kipengele pia tukimuhitaji mnyama wetu tutamdai na kumrudisha na kuwarudishia peza zao.

Ikiwezekana mnyama akifa arudishwe tanzania kwa gharama zao afanyiwe mazsihi rasmi
. No for this am joking


Pendekezo la Pili
Kwa kila mnayama aliyeuzwa kupelekwa kwenye zoo tutoze dola moja au mbili kwa siku kwa siku zote atakazokuwa kwenye zoo za huko ulaya. Hela zitakazo patikana ziingizwe kwenye mfuko wa kuhifadhi wanyama walio katika hatari ya kupotea.


Nimeshanga kuona wazungu wanahamisha mbuga za wanyama kwao.

Nimeshanga kuona zoo zinapata watalii na mapato kuliko hta serengeti na wale watalii shida yao ni kuona simba chui, etc.

Vipengele hivi naona ni mikataba endelevu kwa manufaa ya watanzania.

Nawasilisha kwa mjadala
 
Wachina wanakodisha wanyama wao panda kwa dola milioni moja kwa kipindi cha miaka kadhaa kwa zoo za Marekani. Ni sisi tu tuliozubaa tunawaruhusu wale Waarabu wa Loliondo wazoe wanyama wapendavyo eti ni wawekezaji.
 
Wachina wanakodisha wanyama wao panda kwa dola milioni moja kwa kipindi cha miaka kadhaa kwa zoo za Marekani. Ni sisi tu tuliozubaa tunawaruhusu wale Waarabu wa Loliondo wazoe wanyama wapendavyo eti ni wawekezaji.

Mkuu wewe naona umekuja na wazo bora badala ya kuwauza tuwakodishe hawa wanyama wetu. Hii imekaa vizuri.

Inashangaza Nimeona sehemu ya zoo imeitwa East african area.. wamei "customise" kwa mazingira na hali ya hewa ya africa mashriki. Ile zoo inaiba watalii wengi sana wa frica mashariki na hakuna sehemu wantangaza nchi walizotoka
 
Usafirishaji na uuzaji wa LIVE ANIMALS is prohibited! Kwaiyo huo mpango utakua redundant. Dawa ni kuenforce iyo sheria,then kutangaza zaidi vivutio vyetu na kuonyesha tofauti ya kutembelea ZOO na a real game reserve or national park.
 
Usafirishaji na uuzaji wa LIVE ANIMALS is prohibited! Kwaiyo huo mpango utakua redundant. Dawa ni kuenforce iyo sheria,then kutangaza zaidi vivutio vyetu na kuonyesha tofauti ya kutembelea ZOO na a real game reserve or national park.

Prohibited kivipi Mkuu? Hii hi habri nzuri lakini kam ni kweli. imekuwa prohibiited lini? Mi nimeona documentary wanasema mnyama kasifirishwa mwaka huu na yuko kwenye zoo huko ulaya.

Sasa tofauti ya zoo na geme reserve si njia moja wapo ni kuwaforce kwa njia ya mikataba hao wenye zoo kuweka matangazo na mabango nchi lipotokamnyama fulani

Mimi nimeongelea kipingele wanachoweza kuweka kwenye mikataba ya kuuza/kukodisha wanyama ili wanyama hao watumike zaidi kutangaza wanapotoka kuliko ilivyo sasa.
 
Joh! Unaifahamu CITES? Wale jamaa walioizuia TZ kuuza zile pembe za ndovu! TZ ni mmoja wa wanachama wa CITES. Sasa hawa CITES wameweka sheria zinazozuia uuzaji na usafirishaji wa wanyamapori walio HAI. Ukiona wanauzwa na kusafirishwa kwenda nje,ujue ni ILLEGAL like what's happening in Loliondo Game Controlled Area,whereby Arabs are said and seen to be engaged in transporting live animals to UAE! Ndo ivyo arif Bongo yetu kwishnei!
 
Joh! Unaifahamu CITES? Wale jamaa walioizuia TZ kuuza zile pembe za ndovu! TZ ni mmoja wa wanachama wa CITES. Sasa hawa CITES wameweka sheria zinazozuia uuzaji na usafirishaji wa wanyamapori walio HAI. Ukiona wanauzwa na kusafirishwa kwenda nje,ujue ni ILLEGAL like what's happening in Loliondo Game Controlled Area,whereby Arabs are said and seen to be engaged in transporting live animals to UAE! Ndo ivyo arif Bongo yetu kwishnei!

Unachosema Nyandaigobeko ni kweli kabisa, tena si kuuza na kusafirisha wanyamapori tu hata kusafiri sehemu za baadhi ya wanyama kwa research purpose lazima uwe na kibali toka CITES. Hao wanyama aliowaona jamaa yetu ndio itakua waliosafirishwa kwa njia za panya.
Tukitaka kuongeza kipato kupitia wanyama wetu, ni kuongeza bidii kwenye kujitangaza zaidi vinginevyo tutakuwa tunaona wenzetu wanafaidika na maliasili zetu.
 
Ndiyo maana utalii wa wanyama umepungua sana, wengi wanaongia nchi ni kwa utalii wa kupanda mlima Kilimanjaro, na mapumziko kwenye fukwe za Zanzibar
 
Ndiyo maana utalii wa wanyama umepungua sana, wengi wanaongia nchi ni kwa utalii wa kupanda mlima Kilimanjaro, na mapumziko kwenye fukwe za Zanzibar

ndio kama wanasoma jf waone vipengele japo vya kuboresha hiyo mikataba .
Tutakalia tunajisifia kuwa tuna mbuga kubwa ya wanyama dunianiani lakini idadi ya watalii na mapato wanaotembelea mbuga inanzidiwa na ZOO ya UK au US.
 
Back
Top Bottom