Ushauri kwa Watanzania: Tumfanye rais Dr. Magufuli atawale milele. Wahubiri demokrasia wao hawana demokrasia.

Avictown

Member
Jan 16, 2018
98
56
Watanzania wenzangu, nimefikiria kwa kina hill swala limeniumiza kichwa sana. Wale wanaohubiri demokrasia nchini mwao hawana demokrasia zaidi ya kutusumbua sisi Afrika. Mifano nitaitoa kama ifuatavyo:-

1. Marekani, nina imani wote tunajua jinsi rais wa Marekani anavyopatikana. Hata kama wananchi wengi wamemchagua mgombea lakini bado maamuzi yanabaki kufanywa na watu wachache kuwachagulia rais (rejea uchaguzi wa marekani uliopita)

2. Urusi ni nchi ambayo Putin ameongoza zaidi ya miaka 20 lakini wanasema wana demokrasia.

3. Ujerumani kwa Angel ndo usisema. Yeye namsikia si chini ya miaka 10.

4. China wao wamempitisha Xi awe rais wa maisha.

Alafu sisi ka nchi ambako ni masikini wa kutupwa eti tunaijua demokrasia. Mimi ninavyoona hawa wazungu wanasisitiza demokrasia ili wazidi kutufanya msikini.

Tumpatie nchi rais mmoja miaka yote ili tuone itakuwaje, halafu baada ya miaka mia moja mbele turudishe hiki kitu mnachoita demokrasia.

Hata ni mawazo yangu.
 
Watanzania wenzangu, nimefikiria kwa kina hill swala limeniumiza kichwa sana. Wale wanaohubiri demokrasia nchini mwao hawana demokrasia zaidi ya kutusumbua sisi Afrika. Mifano nitaitoa kama ifuatavyo:-
1. Marekani, nina imani wote tunajua jinsi rais wa Marekani anavyopatikana. Hata kama wananchi wengi wamemchagua mgombea lakini bado maamuzi yanabaki kufanywa na watu wachache kuwachagulia rais (rejea uchaguzi wa marekani uliopita)
2. Urusi ni nchi ambayo Putin ameongoza zaidi ya miaka 20 lakini wanasema wana demokrasia.
3. Ugerumani kwa Angel ndo usisema. Yeye namsikia so chini ya miaka 10.
4. China wao wamempitisha Xi awe rais wa maisha.
Alafu sisi ka nchi ambako ni masikini wa kutupwa eti tunaijua demokrasia. Mimi ninavyoona hawa wazungu wanasisitiza demokrasia ili wazidi kutufanya msikini. Tumpatie nchi raising mmoja miaka yote ili tuone itakuwaje, alafu baada ya miaka mia moja mbele turudishe hiki kitu mnachoita demokrasia.
Hata ni mawazo yangu.
Huyo atakua rais wa milele kwenye familia yenu,mawazo ya kipumbavu sana
 
Nchi ya marekani ni nchi inayopinga rushwa kwa kiwango kikubwa lakini rushwa bado ni tatizo kwenye nchi hiyo.kwa hiyo unataka kutuambia sisi wengine tuache kupigana na rushwa eti kwa sababu marekani bado ina walarushwa! Hilo uliloliazisha hapo sioni kama lina mashiko. Demokrasia ni suala pana sana uwezi ukalichukulia kirahisi hivyo, kuna vigezo vya kupimia kiwango cha demokrasia katika nchi.
 
Sidhani kama wazo lako liko sawa kwani hapa duniani kuna watu wanamaono tofauti tofauti hivyo tunapaswa kupokezana hicho kijiti ili kuongeza chachu ya maendeleo na sio mtu mmoja kudumu kwenye kiti.
 
Watanzania wenzangu, nimefikiria kwa kina hill swala limeniumiza kichwa sana. Wale wanaohubiri demokrasia nchini mwao hawana demokrasia zaidi ya kutusumbua sisi Afrika. Mifano nitaitoa kama ifuatavyo:-
1. Marekani, nina imani wote tunajua jinsi rais wa Marekani anavyopatikana. Hata kama wananchi wengi wamemchagua mgombea lakini bado maamuzi yanabaki kufanywa na watu wachache kuwachagulia rais (rejea uchaguzi wa marekani uliopita)
2. Urusi ni nchi ambayo Putin ameongoza zaidi ya miaka 20 lakini wanasema wana demokrasia.
3. Ugerumani kwa Angel ndo usisema. Yeye namsikia so chini ya miaka 10.
4. China wao wamempitisha Xi awe rais wa maisha.
Alafu sisi ka nchi ambako ni masikini wa kutupwa eti tunaijua demokrasia. Mimi ninavyoona hawa wazungu wanasisitiza demokrasia ili wazidi kutufanya msikini. Tumpatie nchi raising mmoja miaka yote ili tuone itakuwaje, alafu baada ya miaka mia moja mbele turudishe hiki kitu mnachoita demokrasia.
Hata ni mawazo yangu.
, Anayetawala milele ni Mungu tu ,mwisho wa Magufuli kutawala Tanzania ni 2020.
 
Sidhani kama wazo lako liko sawa kwani hapa duniani kuna watu wanamaono tofauti tofauti hivyo tunapaswa kupokezana hicho kijiti ili kuongeza chachu ya maendeleo na sio mtu mmoja kudumu kwenye kiti.
Umejibu kisomi sana. Siyo wale wanaotukana. Tunapaswa kuwa na mawazo tofauti tofauti kwenye jamii. Mm nimewaza hivyo, na mwingine anawaza anavyojua yy lakini so kutukanana.
 
Back
Top Bottom