Ushauri kwa wasioipenda CCM!

Daniel Muhina

Member
Jun 16, 2012
38
12
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo.

Sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walichokilalamikia.

Naomba nitoe ushauri mmoja kwakuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbalimbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wanasiasa wengine na hasa wapinzani wa CCM wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo!

Vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!
 
nimegundua wewe ni mmoja wa watu wanaochelewesha maendeleo kule tanga kimbunga hiki hakitakuacha salama hili kuwakomboa wanatanga
 
nimegundua wewe ni mmoja wa watu wanaochelewesha maendeleo kule tanga kimbunga hiki hakitakuacha salama hili kuwakomboa wanatanga
nakuuliza bajeti ya mwaka jana ilikuwa shilingi ngapi na ilielekezwa kwenye miradi ipi na miradi hiyo imekamilika kwa kiwango gani na kama bado chengi yake iko wapi na kwanini tuongeze fedha nyingine wakati iliyobaki haijarudi huuuuwiiiii jamani ccm ni jaaaaaaanga tutakwisha kuendelea na dude hili
 
Ukiwa mjinga na hata ukipata nafasi ya kufikiri utafikiri ujinga, na Ndicho ulichofikiri na ndicho anachofikiri Nchemba, kama unasifa si usubiri tukusifie! inakuaje wajisifu ujinga Nchemba? watanzania sasa wanajua zaidi ya wanaowatawala wanajuwa pa kuwashika
 
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo. sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walicho kilalamikia.
Naomba nitoe ushauri mmoja kwa kuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbali mbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wana siasa wengine na hasa wapinzani wa ccm wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo! vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!

onga mshi osie mhina!
Lushoto,mlalo na korogwe hawajambo???
 
[naona unatafuta kuwa diwan wa magamba ushachelewa nakushaur ujipange]

Si tafuti Udiwani, mimi ni Diwani tayari na kiongozi wa vijana wa ccm ngazi ya mkoa!
 
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo.

Sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walichokilalamikia.

Naomba nitoe ushauri mmoja kwakuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbalimbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wanasiasa wengine na hasa wapinzani wa CCM wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo!

Vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!


WAPI ANGALIA HAPA SIO AIBU? MSOMI WETU? KIJANA, MATUSI HAYAISHI, ANGALIA KIGWANDA SHAME!!!

292252_373888672675121_719148731_n.jpg
 
Sitafuti Udiwani, mimi ni Diwani tayari na kiongozi wa vijana wa ccm ngazi ya mkoa!
Eti ni Diwani tayari na kiongozi wa vijana wa ccm ngazi ya mkoa, duh! utakuwa umeathirika kweli kweli, yaani wakati vijana wenzako hadi wazee hawataki hata kuhusishwa na hilo genge la mafisadi, wewe hata bila aibu unajitangaza! Kuna watu kweli wana roho ngumu, shame, shame, shame...!
 
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo.

Sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walichokilalamikia.

Naomba nitoe ushauri mmoja kwakuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbalimbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wanasiasa wengine na hasa wapinzani wa CCM wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo!

Vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!

Danny kumbe na wewe ni mwanasiasa safi sana. Ila umefanya jambo la maana sana kuingia kwenye siasa, ushauri wangu ni kuwa jaribu kuwa Pro bono Publico, Mwigulu leo katoka nje mstari. Na inaonekana ana hasira za kupata kichapo Arumeru.

Otherwise nikupongeze sana kwa kuingia kwenye siasa, wengi tukifikiria adha za siasa tunakata tamaa. Ila nimefurahia sana kwa wewe kuwa muwazi. Masikitiko yangu ni kuwa Tanzania chini ya CCM ambayo haithamini wataalam inafanya wataalam wa IT kama wewe na fani mbalimbali kujikuta wanaamua kuingia kwenye siasa labla wanaweza kufanikisha kitu, niltarajia saa hizi ungekuwa unawaza kuandika programmes za kurahisisha supply chains badala yake unamtetea mwanasiasa mchumi first class anayeshusha hadhi ya first class za UDSM. Ila simlaumu wapo wengi wana first class za madesa.
 
nimegundua wewe ni mmoja wa watu wanaochelewesha maendeleo kule tanga kimbunga hiki hakitakuacha salama hili kuwakomboa wanatanga
Ingependeza kama ungejibu mrusha thread hii kama una hoja ya msingi, badala ya kuendelea kutoa majibu majibu ya ulalamishi kama ya wale wabunge ambao wahajiona kama hoja zao ndizo za msingi tu.
 
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo.

Sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walichokilalamikia.

Naomba nitoe ushauri mmoja kwakuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbalimbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wanasiasa wengine na hasa wapinzani wa CCM wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo!

Vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!
Big up mkuu, umetoa hoja ya msingi kabisa, lakini sasa hawa wana JF wana hoja ya msingi ya kukujibu, badala ya kutukana? Hakika hatujengi bali tunabomoa. Wana JF inabidi tubadilike, kama kweli tunataka mabadiliko tutambue kuwa mabadiliko yanayotakiwa ni ya fikra za watu na siyo ya chama. Unaweza kubadili chama lakni fikra zikawa za watu wake zikawa zile zile.
 
Danny kumbe na wewe ni mwanasiasa safi sana. Ila umefanya jambo la maana sana kuingia kwenye siasa, ushauri wangu ni kuwa jaribu kuwa Pro bono Publico, Mwigulu leo katoka nje mstari. Na inaonekana ana hasira za kupata kichapo Arumeru.

Otherwise nikupongeze sana kwa kuingia kwenye siasa, wengi tukifikiria adha za siasa tunakata tamaa. Ila nimefurahia sana kwa wewe kuwa muwazi. Masikitiko yangu ni kuwa Tanzania chini ya CCM ambayo haithamini wataalam inafanya wataalam wa IT kama wewe na fani mbalimbali kujikuta wanaamua kuingia kwenye siasa labla wanaweza kufanikisha kitu, niltarajia saa hizi ungekuwa unawaza kuandika programmes za kurahisisha supply chains badala yake unamtetea mwanasiasa mchumi first class anayeshusha hadhi ya first class za UDSM. Ila simlaumu wapo wengi wana first class za madesa.

Mwigulu lazima asakamwe sana kwa vile ni mwiba kwa wanasiasa uchwara, watabaki kutapa tapa sana tu.
 
Nimekuwa msomaji mzuri wa Jamiiforums kwa muda mrefu kidogo kabla sijajiunga kwani ni memba kwenye makundi mengine humu mitandaoni kwa kipindi kirefu kidogo.

Sasa umefika wakati nami nimeona nijiunge rasmi, nimekuwa nikisoma malalamiko mengi leo dhidi ya Mh mwigulu kwa mchango wake alioutoa bungeni jioni, wengi wa wachangiaji wameonyesha kukerwa kwao na hoja zote na hasa kusema kuwa Mwigulu katoa lugha chafu, matusi na mengine mengi kibaya zaidi hata hao nao wamerudia kile kile walichokilalamikia.

Naomba nitoe ushauri mmoja kwakuwa Mwigulu anafanya kazi ya siasa na wote mlimvamia wenye hoja mbalimbali yaonekana pia mwafanya kazi za siasa naomba niwashauri kuwa Mwigulu kafanya kazi yake ya siasa na kautumia vema muda wake leo, sasa ni juu ya wanasiasa wengine na hasa wapinzani wa CCM wawasiliane na wabunge wao ili kabla ya bunge hili la bajeti kwisha waweze kutoa baadhi ya majibu ambayo mh Mwigulu ameyasema hasa ishu ya Gari la Mh Mbowe na mengineyo!

Vingineyo nitaamini kuwa Mwigulu kawashika pabaya leo!

Daah!kweli kazi tunayo kama tutaendelea kuwa na taifa lenye watu kama wewe mleta thread. "Gamba at work!!!
 
etu nyinyiemu kuna ma-star,hivyo lazima uongee ongee vya ajabu ili umentain chart ya u-star kwenye chama.
ila the hotest one ambaye kwa sasa ameshika chart ni nape.na wewe je ,watafute kuwa juu ya nape???lete porojo tusikie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom