Ushauri kwa wanaume mnaofuga madevu!

Ahsante sana kwa kunialika kwenye uzi MY SOUL SURGEON, tatizo la uzi huu kina dada wanayo nafasi ya kuchangia zaizi kuliko sisi, ila sitokua mnyimi, nami nitatupiamo machache...

1. 6*6 haina sheria milikishi, wanao tunga sheria ni wachezaji wa uwanja huo.
2. 6*6 sheria zake zinabadilika mf. leo tunazima taa, kesho tunawasha mshumaa, kesho kutwa tunafanya mchana
3. 6*6 ni sehemu ambayo mapendekezo huwa yanaruhusiwa ila namna tu ya kupendekeza ndio inatakiwa iwe sahihi...

Wajuvi wengi humu wataongeza nyama
 
Daaaa,mimi sifugi ndevu ila kusini mwa mwili aliko abdala kichwa wazi huwa nanyoa zote,ila kasikazi anapoanzia shina kuja tumboni nakata pank kati kati, ukipata anaejua kuzisuka halafu ndio mpige gemu hataacha kukupenda maana msuko uikigusa G-sport utasikia miguno na ukelele huo.Mi simo
 
Kumbe na wewe msukuma....

images (4).jpeg
images (3).jpeg
images (2).jpeg
images.jpeg


Mnakoelekea ninyi sasa...mtatuambia tuanze kuweka na masponji kwenye boxer...
 
Kazi nisiyo ipenda ni ya upolisi kwa kuwa ina lazimisha kukata ndevu... una angaika na viwembe... hasa sisi wenye hati miliki tuna tabu hasa...
 
Sema midevu ya bwana ako michafu wala haikupi mzuka usilazimishe interest zako ziwe za wote
haya nenda kamnyoe midevu yake bwana ako
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom