Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,224
- 26,039
- Thread starter
- #61
Na hili ndo shida! Watu kila kitu wanageuza siasaLazima tuwe na utaratibu, kuna watu wanatamani kila jambo liwe siasa.
Machinga wawe na maeneo maalum tutawafuata huko, miji iwe na ramani ilifika muda hata kutembea service road ni mtihani