YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
- Thread starter
- #21
Siongelei majungu na sina muda nayo naongelea performance output ya kuhudumia wananchi walio wengi ambao ndio wapiga kura serikali zilizopita zilikuwa za viongozi sio za wananchi zilikuwa za akina una unanijua mimi nani mimi ni shemeji au hawara na bosi nk shenzi type kura upewe na wanyonge halafu uwatishie nyau .Magufuli aliua hiyo na isijirudie .Mama Samia hili usikubali kuwa serikali iwe ya viongozi iwe ya wakipa kodi ya wanananchi sio wananchi utapata shidaSamia anaakili na ni mstarabu wewe,hawezi kamwe kufata ujinga wa magu,magu alikuwa mfano mbaya katika jamii ya wastaarabu