britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
Hii inaanzia Kwa mkubwa alafu Kwa kina Jerry Muro, Makonda, na Happi wa Iringa
Kufoka foka sio kipimo cha Utendaji bora....Na wala sio kila anayefokewa atawajibika kwa ufasaha kutekeleza maelekezo either kwa kuogopa au kwa kuumizwa na Kauli. Nevertheless, standing order ndio msaafu wa mtumishi!
Najua nje ya viongozi watakaosoma hapa ,kuna wananchi mnaokerwa na Kauli za Unyanyasaji Kwa watendaji, wakati wao viongozi hawana wa kuwafokea
Kuna aliyefoka juu ha kupanda Kwa gharama za maisha (price index Ina indicate)
Kuna anayefoka kuhusu viongozi kupoteza wananchi?
Muwe na Alhamis Njema
Britannica
Kufoka foka sio kipimo cha Utendaji bora....Na wala sio kila anayefokewa atawajibika kwa ufasaha kutekeleza maelekezo either kwa kuogopa au kwa kuumizwa na Kauli. Nevertheless, standing order ndio msaafu wa mtumishi!
Najua nje ya viongozi watakaosoma hapa ,kuna wananchi mnaokerwa na Kauli za Unyanyasaji Kwa watendaji, wakati wao viongozi hawana wa kuwafokea
Kuna aliyefoka juu ha kupanda Kwa gharama za maisha (price index Ina indicate)
Kuna anayefoka kuhusu viongozi kupoteza wananchi?
Muwe na Alhamis Njema
Britannica