zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
Kuna ndugu yangu mmoja amezunguka akitafuta ajira miaka kadhaa hajapata! Katika application zaidi ya 80 amefanya interview 3 tu! Alichoka zaidi pale majina yalipotolewa na Sekretarieti ya ajira Jina lake halimo. Sasa amekata tamaa! Najua kuwa kuna wengi wana matatizo kama huyu jamaa lakini mimi nipende tu kuwashauri
msikate tamaa vijana keep on trying mtafanikiwa tu siku moja!
but kama kuna mambo mengine mnaweza kufanya km vile ujasiria mali, Ualimu nyie endeleeni, manake kuna maelfu ya vijana hawana ajira wanazunguka mijini kila kukicha na bahasha wanasambaza CV kwenye makampuni na maofisi tofauti tofauti.....Cv hizo zinaishia kuchomwa moto tu!
Hakuna mpango wowote wa kushughulikia tatizo hilo, wanaishia tu kutoa msemo wao kuwa "mjiajiri" hakuna anayezungumzia changamoto za vijana kujiajiri kama vile mitaji, elimu ya ujasiria mali n.k
Ni wakati wenu kuamka kupeleka message yenu kwa serikali
msikate tamaa vijana keep on trying mtafanikiwa tu siku moja!
but kama kuna mambo mengine mnaweza kufanya km vile ujasiria mali, Ualimu nyie endeleeni, manake kuna maelfu ya vijana hawana ajira wanazunguka mijini kila kukicha na bahasha wanasambaza CV kwenye makampuni na maofisi tofauti tofauti.....Cv hizo zinaishia kuchomwa moto tu!
Hakuna mpango wowote wa kushughulikia tatizo hilo, wanaishia tu kutoa msemo wao kuwa "mjiajiri" hakuna anayezungumzia changamoto za vijana kujiajiri kama vile mitaji, elimu ya ujasiria mali n.k
Ni wakati wenu kuamka kupeleka message yenu kwa serikali