Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,613
- 6,094
Kawaulize makada wa CCM wanafaidika nini siku ya Leo kukosa internetItakusaidia nini?.
Kawaulize makada wa CCM wanafaidika nini siku ya Leo kukosa internetItakusaidia nini?.
Tutaelewana tuuWacha tuonyeshane makali kidogo by Dr. L. Shika (r.i.p)
Aisee me nipo Dusseldorf, Ujerumani hapa.
Magufuli na maendeleo yote aliyofanya lkn anaogopa watu wanyuma ya keyboard, ambao sio wapiga kura a ha ha ha kwa namna mnavyosema. Rais bora kuliko wote Africa anaogopa mitandao sijawahi kuona Rais mjinga mithiri ya Magufuli.Utatukana sana tu, lakini yana mwishoo hayo njoo kwenye kuapishwa tu. Then wengi tu tutawaachia mtandao wenu mliouza kwa mlevi wa konyagi.
We mjanja unakesha humu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMagufuli na maendeleo yote aliyofanya lkn anaongopa watu wanyuma ya keyboard, ambao sio wapiga kura a ha ha ha kwa namna mnavyosema. Raisi bora kuliko wote Africa anaogopa mitandao sijawahi kuona raisi mjinga mithiri ya Magufuli.
Daaah! Kweli Watanzania wengi bado Ni wajinga sana. Hivi mpaka muda huu bado Kuna Mtanzania anaamini kuwa Lissu atamushinda Jiwe kesho kweli.Jiwe ni bogasi kabisa anashauriwa na watu mafala sana yaani hii ya kuzima inaweza kumpunguzia zaidi kura kesho na hatoamini
Umahiri wa utunzi wa viroja.MaCCM yalidhani ni upinzani tu utaathirika na huu mfumo wa kidekteta cha ajabu leo yenyewe ndiyo yanahaha kama kuku waliokatwa vichwa.
Leo kuna dada wa CCM kanipigia simu ananiuliza namna ya kutumia VPN nikamwambia ampigie simu Musiba au Polepole watampa maelekezo ya namna kutumia VPN.
Hakika mkuu yapaswa wawe na bei zao,ili wawe naunafuu wa maisha kulko sie wapinzani.Watawajuaje sasa?
Nashahuri hata dukani kwa mangi wawe na bei zao.
Leo mkuu, ndio naelekea kuwahi foleni, inatakiwa saa mbili na dk 5 niwe nshachinja mtu.Hakuna mtu aliye salama... CCM kesho wampe kura nyingi Tundu lissu... Mtakuja kutoa shukrani badae.
Hakika hana rafiki.Mlizoea kuyasikia China na korea kaskazini, sasa hivi ni kwenu, dikteta hana rafiki.
Humu jukwaani nimewatahadharisha mara nyingi juu ya ukatwaji wa mawasiliano ndani ya week hii. Nilitumia uzoefu wa chaguzi 2 zilizo pita. Acuteness ya huu upumbavu imekuwa ikiongezeka kutoka uchaguzi mmoja kwenda mwengine.Hakika hana rafiki.
Uchaguzi gani wa huko nyumba uliwahi kupelekea mitandao kuzimwa!? Tukumbushane.Humu jukwaani nimewatahadharisha mara nyingi juu ya ukatwaji wa mawasiliano ndani ya week hii. Nilitumia uzoefu wa chaguzi 2 zilizo pita. Acuteness ya huu upumbavu imekuwa ikiongezeka kutoka uchaguzi mmoja kwenda mwengine.
2010 na 2015 jamii forums ilishambuliwa kwa siku kadhaa.Uchaguzi gani wa huko nyumba uliwahi kupelekea mitandao kuzimwa!? Tukumbushane.