imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,035
Nani kakuambia CCM inajali wanachama CCM ya Magufuli inajali zaidi ghost voters kwasababu ndio walioiona flyovermaana ndugu zetu CCM wao hawana makosa, wanahitaji hii mitandao maana wao
Nani kakuambia CCM inajali wanachama CCM ya Magufuli inajali zaidi ghost voters kwasababu ndio walioiona flyovermaana ndugu zetu CCM wao hawana makosa, wanahitaji hii mitandao maana wao
Ajifunze etAisee hadi mama yangu kala spana, huku mwanao nikiendelea kuperuzi kwa raha zangu. nimemwambia asome namba
Wewe unafikitri anajali! Hukusikia stori ya TAL? NEC imeishaandaa matokeo: ******** ni mil 12 na TAL ni mil 3.Jiwe ni bogasi kabisa anashauriwa na watu mafala sana yaani hii ya kuzima inaweza kumpunguzia zaidi kura kesho na hatoamini
Wale wasanii waliokuwa wanarukaruka majukwaani wanavishwa kofia sijui hili la kuzimwa mitandao kama limewagusa na waoNimecheka sana kwakweli nawao wanataka VPN wakati niwatu wakusifia nakuabudu jiwe.
Hongera sana mzee baba!! Kwa sasa niko USA, nikichoka kukaa USA naamia UK all the way to Australia to UK etc etc...Hatari mkuu mi niko paris Upepo wa Pesa wa pesa Asante sana bro, ile vpn imenirudisha hewani.
Daa nimecheka sana eti amuulize Musiba.MaCCM yalidhani ni upinzani tu utaathirika na huu mfumo wa kidekteta cha ajabu leo yenyewe ndiyo yanahaha kama kuku waliokatwa vichwa.
Leo kuna dada wa CCM kanipigia simu ananiuliza namna ya kutumia VPN nikamwambia ampigie simu Musiba au Polepole watampa maelekezo ya namna kutumia VPN.
Nawalivo mbumbumbu wale hata kutumia VNP hawajui.Wale wasanii waliokuwa wanarukaruka majukwaani wanavishwa kofia sijui hili la kuzimwa mitandao kama limewagusa na wao
Itakusaidia nini?.Nimefurahi Sana maccm kukosa leo internet
Utatukana sana tu, lakini yana mwishoo hayo njoo kwenye kuapishwa tu. Then wengi tu tutawaachia mtandao wenu mliouza kwa mlevi wa konyagi.Jiwe ni bogasi kabisa anashauriwa na watu mafala sana yaani hii ya kuzima inaweza kumpunguzia zaidi kura kesho na hatoamini