VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Watanzania wanahitaji taarifa na elimu sahihi juu ya corona.Bado naona kipaumbele habari za kusifia tu awamu ya tano kwa mafanikio yaliyofikiwa na yanayoendelea.
Nashauri tujali uhai na afya ya wananchi kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashauri tujali uhai na afya ya wananchi kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app