Ushauri kwa TBC kuhusu tukio la Ripoti ya makinikia

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,675
Nashauri chombo hiki cha kitaifa kigute makosa yake kwa kutuletea special coverage ya kupokelewa kwa ripoti ya kamati ya wachumi na wanasheria ambayo iitatuonesha ni kwa kiasi gani nchi imeibiwa.

Ningependa kuona matangazo ya maandalizi na chambuzi mbalimbali kuhusiana na madini,mikataba yake na mustakabali wa Taifa kuanzia hiyo kesho.

TBC iwaalike wataalamu wa uchumi na sheria waliobobea na wenye uzalendo wa kweli na sio vibaraka walionunuliwa na wezi.

TBC ianze upya kwa kutuletea mwanzo mpya kwenye sakata la madini.

Ikiwezekana TBC iwaalike wanamazingira ambao pia watagusia athari za kimazingira ziambatanazo na uchimbaji wa madini.
 
Nashauri chombo hiki cha kitaifa kigute makosa yake kwa kutuletea special coverage ya kupokelewa kwa ripoti ya kamati ya wachumi na wanasheria ambayo iitatuonesha ni kwa kiasi gani nchi imeibiwa.

Ningependa kuona matangazo ya maandalizi na chambuzi mbalimbali kuhusiana na madini,mikataba yake na mustakabali wa Taifa kuanzia hiyo kesho.

TBC iwaalike wataalamu wa uchumi na sheria waliobobea na wenye uzalendo wa kweli na sio vibaraka walionunuliwa na wezi.

TBC ianze upya kwa kutuletea mwanzo mpya kwenye sakata la madini.

Ikiwezekana TBC iwaalike wanamazingira ambao pia watagusia athari za kimazingira ziambatanazo na uchimbaji wa madini.
Kesho Bunge linaanza kujadili bajeti,nadhani bajeti ya nchi ni muhimu kuliko makinikia!Naomba bunge lirushwe live TBC
 
Bajeti najua itapita kwa vile no karne haijapata tokea tunataka Ripoti ya madini ili tuone nani Wanatumbuliwa kesho inawezekana hata Viongozi waliotangulia wakatakiwa kesho wakamatwe ur Never know more of Makinikia Than Bunge just for tomorrow
 
Kesho Bunge linaanza kujadili bajeti,nadhani bajeti ya nchi ni muhimu kuliko makinikia!Naomba bunge lirushwe live TBC
Wewe utakuwa humtakii mema Mkurugenzi wa TBC.......

Ikitokea TBC wakaamua kuirusha LIVE hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha, Mbunge Silinge, ambayo itasomwa kesho, badala ya kurusha Live tukio la kupokea ripoti ya Makinikia part 2, ujue 'kibarua' cha Rioba kitaota!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe utakuwa humtakii mema Mkurugenzi wa TBC.......

Ikitokea TBC wakaamua kuirusha LIVE hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha, Mbunge Silinge, badala ya kurusha Live tukio la kupokea ripoti ya Makinikia part 2, ujue 'kibarua' cha Rioba kitaota!
Kweli eeh!!
 
Nashauri chombo hiki cha kitaifa kigute makosa yake kwa kutuletea special coverage ya kupokelewa kwa ripoti ya kamati ya wachumi na wanasheria ambayo iitatuonesha ni kwa kiasi gani nchi imeibiwa.
Ushauri wa maana sana.
 
Nashauri chombo hiki cha kitaifa kigute makosa yake kwa kutuletea special coverage ya kupokelewa kwa ripoti ya kamati ya wachumi na wanasheria ambayo iitatuonesha ni kwa kiasi gani nchi imeibiwa.

Ningependa kuona matangazo ya maandalizi na chambuzi mbalimbali kuhusiana na madini,mikataba yake na mustakabali wa Taifa kuanzia hiyo kesho.

TBC iwaalike wataalamu wa uchumi na sheria waliobobea na wenye uzalendo wa kweli na sio vibaraka walionunuliwa na wezi.

TBC ianze upya kwa kutuletea mwanzo mpya kwenye sakata la madini.

Ikiwezekana TBC iwaalike wanamazingira ambao pia watagusia athari za kimazingira ziambatanazo na uchimbaji wa madini.
TBC imebaki kuwa chombo cha habari kilicho kosa weledi,ubunifu na uwasilishaji wa matukio yenye tija kwa taifa ni miongoni mwa media zilizo nyuma sana ndani ya Afrika na nje ya mipaka yake.
Licha ya kuwa chini ya Dr. ambaye binafsi namfahamu vizuri lakini bado ni media inayoiangusha serikali ya Mh. Dr. Magufuli, chombo hiki kimeshindwa kuwa na agenda badala yake kimekuwa kibogoyo katika kuandaa agenda tatizo alijulikani licha ya kuwa na wakongwe, weledi na wasomi waliotukuka katika tasnia ya habari.
 
Back
Top Bottom