Kwa miaka mingi sasa wananchi wengi na hasa vigogo wa CCM na serikali wamejikita ktk biashara ya nyumba za kupangisha na wanawanyonga kweli wapangaji. Cha kusikitisha ni kwamba watu hawa wenye majumba hawalipii kodi kipato hicho wanacho pata kutokana na tozo la pango.
Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba badala ya kumbebesha mzigo mkubwa wa kodi mfayakazi, basi na nyumba zote zinazopangishwa zisajiliwe na serkali za mtaa na hapo wenye nyumba lazima walipe kodi ya mapato kwani ni biashara hiyo wanafanya.
Hakuna suala la kusema ni vigumu kusajili wakati serikali za mitaa zipo na viongozi wa mitaa wananjua ni numba ipi inapangishwa na ipi anaishi mwenyewe.
Inasikitisha kuona kwa miaka 40 iliyopita bado chanzo hiki cha mapato serikali ya CCM haija kiona au vigogo wa CCM ndo wanaofaidika na ukwepaji kodi huu??
Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba badala ya kumbebesha mzigo mkubwa wa kodi mfayakazi, basi na nyumba zote zinazopangishwa zisajiliwe na serkali za mtaa na hapo wenye nyumba lazima walipe kodi ya mapato kwani ni biashara hiyo wanafanya.
Hakuna suala la kusema ni vigumu kusajili wakati serikali za mitaa zipo na viongozi wa mitaa wananjua ni numba ipi inapangishwa na ipi anaishi mwenyewe.
Inasikitisha kuona kwa miaka 40 iliyopita bado chanzo hiki cha mapato serikali ya CCM haija kiona au vigogo wa CCM ndo wanaofaidika na ukwepaji kodi huu??