Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Habari
Ningependa kuishauri serikali ya Tanzania kama kweli ipo na nia ya kuendeleza viwanda hapa nchini basi iwekeze katika uzalishaji wa chuma na umeme wa kutosha.
Maana ya kusema hivi ni kwamba Ukishakuwa na chuma ya kutosha basi miundombinu ya msingi ya viwanda huna haja ya kuhangaika tena vilevile umeme ndio chanzo kikubwa cha nishati ya uendeshaji wa mitambo ya viwanda.
Ni hayo tu kwa leo.
Ahsanteni!
Ningependa kuishauri serikali ya Tanzania kama kweli ipo na nia ya kuendeleza viwanda hapa nchini basi iwekeze katika uzalishaji wa chuma na umeme wa kutosha.
Maana ya kusema hivi ni kwamba Ukishakuwa na chuma ya kutosha basi miundombinu ya msingi ya viwanda huna haja ya kuhangaika tena vilevile umeme ndio chanzo kikubwa cha nishati ya uendeshaji wa mitambo ya viwanda.
Ni hayo tu kwa leo.
Ahsanteni!