Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Watanzania!
Heri ya mwaka 2020. Niende moja kwa moja katika ushauri wangu kwa serikali kwenda kwa vijana.
Serikali naishauri anzisheni taasisi ya "MAMLAKA YA VIJANA, WALEMAVU NA UWEZESHAJI" ambayo itakayojikita kuhusu vijana namna ya kuwatambua, kujua viwango vya elimu zao, mahali walipo, namna ya kuwawezesha kiuchumi na kuwafikia moja kwa moja. Hii itasaidia kweli kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana maana mamlaka itasaidia taasisi nyingine kiutendaji.
Vijana watatambulika kitakwimu kwa usahihi, kiuchumi, kimaendeleo, kielimu pamoja na kiutendaji.
Serikali hamtakuwa mnasumbuka kuhusu kudai mikopo kuhusu vijana mfano, HESLB, Banks, NEEC nk.
Pia hii itasaidia kuondokana na wanasiasa kutumia changamoto za vijana kama mtaji kujipatia kura.
NB
Ruksa kuongeza maoni.
Heri ya mwaka 2020. Niende moja kwa moja katika ushauri wangu kwa serikali kwenda kwa vijana.
Serikali naishauri anzisheni taasisi ya "MAMLAKA YA VIJANA, WALEMAVU NA UWEZESHAJI" ambayo itakayojikita kuhusu vijana namna ya kuwatambua, kujua viwango vya elimu zao, mahali walipo, namna ya kuwawezesha kiuchumi na kuwafikia moja kwa moja. Hii itasaidia kweli kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana maana mamlaka itasaidia taasisi nyingine kiutendaji.
Vijana watatambulika kitakwimu kwa usahihi, kiuchumi, kimaendeleo, kielimu pamoja na kiutendaji.
Serikali hamtakuwa mnasumbuka kuhusu kudai mikopo kuhusu vijana mfano, HESLB, Banks, NEEC nk.
Pia hii itasaidia kuondokana na wanasiasa kutumia changamoto za vijana kama mtaji kujipatia kura.
NB
Ruksa kuongeza maoni.