ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,412
- 49,053
Habari ndugu wana jukwaa,
Napenda kutoa ushauri kwa serikali iangalie uwezekano wa kuihamishia Tarura chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi kutoka Tamisemi na kuondoa mambo ya mawasiliano kutoka wizara ya ujenzi kupeleka wizara ya habari
Ili kuleta ufanisi masuala ya barabara yawe chini ya wizara husika ili Tamisemi wadili na mambo ya shule,vituo vya afya na utawala kwa kushirikiana na wizara zingine.
Leo hii ukienda kwenye kila shule ya mjini msongamano wa watoto ni mkubwa,samani ni tatizo,zahanati na vituo vya afya vimejaa watu kwa sababu ni vichache kuliko uhitaji sasa kwa hali kama hii ni busara serikali ikaona namna ya kuchukua ushauri
Sielewi kwa nini masuala ya minara ya simu tcra sijui tehama yako chini ya wizara ya ujenzi badala ya wizara ya habari
Napenda kutoa ushauri kwa serikali iangalie uwezekano wa kuihamishia Tarura chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi kutoka Tamisemi na kuondoa mambo ya mawasiliano kutoka wizara ya ujenzi kupeleka wizara ya habari
Ili kuleta ufanisi masuala ya barabara yawe chini ya wizara husika ili Tamisemi wadili na mambo ya shule,vituo vya afya na utawala kwa kushirikiana na wizara zingine.
Leo hii ukienda kwenye kila shule ya mjini msongamano wa watoto ni mkubwa,samani ni tatizo,zahanati na vituo vya afya vimejaa watu kwa sababu ni vichache kuliko uhitaji sasa kwa hali kama hii ni busara serikali ikaona namna ya kuchukua ushauri
Sielewi kwa nini masuala ya minara ya simu tcra sijui tehama yako chini ya wizara ya ujenzi badala ya wizara ya habari