Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,279
- 3,775
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiamini sana, huo pekee ni udhaifumkuu bongo hii utafanya ugaidi wapi watu wasikuone ujue mtaani hata ukihamia tu watu wana notisi na watakuja kukuuliza kijanja shuguli zako bila wewe kujua watanzania umbeya unatusaidia mno
Utatuhusu kama watavuka kwetuHuo ugomvi hautuhusu
mkuu tuliwatoa kibiti pale wakakimbilia hukoUnajiamini sana, huo pekee ni udhaifu
Okay kama intelligence ipo vizuri basi ni vyemaUnajua kuna mambo ambayo yalikuwa yamepangwa tangu 2016 huko lakini serikali inavyosema jambo mnaidharau na kuona ni wauwaji....
Fuatilia maeneo ambako makundi ya magaidi yalianza na vyanzo vyake hasa ni nini..
Kuna mijitu inashinda mitandaoni kazi kusema go fulani wakati hao ndio wameingia mikataba..
Tutawanyoosha intelijencia yetu ipo makini hakuna haja ya kufundishana.
Really?? Sio hawa mkuumkuu tuliwatoa kibiti pale wakakimbilia huko
Imenitafakarisha sanaumeongea vizuri ugaidi kupambana nao ni ngumu, hata mabeberu mwenye interejestia ya juu wanashambuliwa
Siamini sana kwamba una ufahamu mkubwa sana wa masuala haya zaidi ya wenye mamlaka! Ebu tuwaachie wafanye kazi yako.Natumaini mu wazima wa Afya.
Naomba nitumie nafasi hii kuikumbusha jamii na serikali madhara yaliyowahi kutokea kwa nchi jirani Kenya miaka ya juzi tu walipojaribu kuingiza jeshi Lao Somalia...
Umeandika kwamba Rais Nyusi ni legelege ndio maana kashindwa kukabiliana na kuzorota usalama, huku ni kukosa adabu na nidhamu mbaya.
Ina maana hata Buhari wa Nigeria, Idriss Derby wa Chad wao pia no legelege sababu uasi wa bokoharam umezorotesha usalama huko kwao?
Pia Rais Alsis wa Misri naye utamuita legelege kisa wanamgambo wa ISIS wamefanya ghasia huko Sinai?
Isitoshe serikali ya Msumbiji haijakiri imeshindwa kuwadhibiti hao wahuni ila ni suala linalohitaji muda (rejea nchi za Nigeria, Cameroon,Chad mpaka Sasa zinapambana na Bokoharam).