babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 471
- 333
Heshima kwenu wakuu
Serikali ya Awamu ya 5 imejikita katika kukusanya kodi na Mhe. Rais amekuwa akisisitiza kulipa kodi na umhimu wake.
Lipo eneo moja ambapo Serikali inapoteza mapato makubwa, kwa utafiti wangu usiokuwa rasmi zaidi ya watanzania 80% waishio mjini wanaishi kwenye nyumba za kupanga.
TZ Gov ikiweka mfumo mzuri wa kila mpangaji alipe kodi itasaidia kuongeza mapato.
Nini kifanyike:
1: Madalali wote waondolewe
2: Nyumba zote ziweregistered kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa.
Mpagaji atakwenda kwa mtendaji au M/Kiti wa Mtaa anaotaka kupanga atapata tarifa za nyumba zote zilizopo kweye mtaa huo, akishalipa Gov itapata kodi yake kuliko ilivyo sasa madalali wanapga pesa na halipi kodi na wanachangia kupanda kwa bei ya vyumba.
Ni mtazamo wangu kwa Tz_Gov
Babilas Jr
babilasfikiri@gmail.com
Serikali ya Awamu ya 5 imejikita katika kukusanya kodi na Mhe. Rais amekuwa akisisitiza kulipa kodi na umhimu wake.
Lipo eneo moja ambapo Serikali inapoteza mapato makubwa, kwa utafiti wangu usiokuwa rasmi zaidi ya watanzania 80% waishio mjini wanaishi kwenye nyumba za kupanga.
TZ Gov ikiweka mfumo mzuri wa kila mpangaji alipe kodi itasaidia kuongeza mapato.
Nini kifanyike:
1: Madalali wote waondolewe
2: Nyumba zote ziweregistered kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa.
Mpagaji atakwenda kwa mtendaji au M/Kiti wa Mtaa anaotaka kupanga atapata tarifa za nyumba zote zilizopo kweye mtaa huo, akishalipa Gov itapata kodi yake kuliko ilivyo sasa madalali wanapga pesa na halipi kodi na wanachangia kupanda kwa bei ya vyumba.
Ni mtazamo wangu kwa Tz_Gov
Babilas Jr
babilasfikiri@gmail.com