Ushauri kwa Serikali: Ajira za mkataba ndiyo suluhisho pekee la uhaba wa ajira nchini

Kila mwaka wanavyuo wengi wana graduate na kurundikana mtaani bila ajira huku wakihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Serikali kama mdau wa ajira nchini inapaswa kuja na wazo la ajira za mkataba kama ifuatavyo;-

1.Kwenye utumishi wa umma:
Mfumo wa ajira za maisha uondolewe yaani nesi, daktari, mwalimu n.k badala ya ajira zao kuwa za maisha ziwe za mkataba wa miaka mitano hadi kumi tena wakilipwa mishahara minono ili mkataba unapoisha mtumishi akajiajiri ili kuendeleza maisha yake! Hii itasaidia serikali kuajiri watumishi wapya wanaotafuta ajira kila siku na kupunguza uhaba wa ajira nchini!

2.Kwenye siasa:
Serikali itunge sheria itakayosimamia vyama vya siasa kutorudia kuteua majina yale yale kwenye uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani kila baada ya miaka mitano. Kuwe na ukomo wa utumishi wa kisiasa kwa miaka mitano mitano ili kuwapa nafasi wengine wenye sifa na vigezo vya kielimu vikichukuliwa kama sifa kuu mojawapo ya uteuzi. Angalau Shahada ya kwanza kwa ubunge na Astashahada kwa udiwani. Hii itatoa fursa kwa wengi kupitishwa na vyama vya siasa kwenye uchaguzi na kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Nawakaribisha kwa mjadala huru na
Ohooo, izo stress za ajira kaka
 
Atleast ataachwa na kitu mkononi! Knowing thats your last bullet in hand itampa ujasiri wa kujaribu mishe kadhaa maana mtaji anao.

Kuisha kwa mkataba ukiwa na 70M mkononi inaweza kuwa sawa na kukabidhiwa cheti cha degree bila sent 5 kisha uambiwe jiajiri?
Mnhhh, hio million 70 inatoka wapi?? Au ume assume kila kitu nitakua constant? Hakuna ada za watoto,usafiri, chakula etc Anyway siku ambayo Tanzania inaweza kumpa kila mtu million 70 ndio siku ambayo Tanzania hakuna matatizo yoyote ikiwemo ukosefu wa Ajira!,

Pia sio wote wana utaalamu wa kujiajiri, mfano ni wastaafu, ni wangapi baada ya kupewa pensheni wameweza kuishi bila kutegemea ndugu? How long pension zao zili last au kufungua biashara??, kwa hio unaona ishu sio kupata mtaji,Ishu ni kujua kujiajiri na sio wote wana ujuzi huu,,,mnacho suggest ni kama WOTE tujiari jambo ambalo haliwezekani, ,

Kuhusu cheti bila senti 5 hili ndio tungepaswa kudiscuss na kubuni njia za kusaidia , sio kunyang'anya kazi wengine huwezi kutoa depression kwa huyu halafu umpe mwingine, no, haliko sawa, badala ya kupandisha mishahara mpaka million 70 kwa nini fungu hili hili lisitengwe kiasi kusaidia graduates wapya kujiajiri? Huoni this is more feasible than causing chaos/depression/job insecurity????
 
We unaonekana unamenya serikalini wewe ndio maana hutamani ajira yako ikatishwe kwa mkataba! Mi nina hakika 80% ya waajiriwa ikatokea waambiwe ajira basi imetosha mpishe wengine basi kuna wengi tutawazika kwa presha.

Ugumu wakujiajiri uko pale pale ila utofauti utakuwa kwamba mwenye mtaji mkubwa ana chance kubwa yakutoboa mfano wewe umemeki 70M! Ukianza biashara ya 2M ikaanguka, ukarudia tena ikaanguka mpaka itakapokubali kuwork out you stand a chance by far!

Imagine graduate kafanya the same kwa 2M tu biashara imemkataa! Hela imepoteaa anarudishaje tumaini?
Mimi siko kazini serikalini nfact ni jobless ila unaonekana unajua upotevu wa ajira unaweza kufanya mtu akaweza kupoteza maisha! Ndicho tunazungumza humu!

Biashara kumkataa graduate ndicho tunachosema humu sio kila mtu ataweza kujiajiri, una million 2 au 7 it doesn't matter, Kuna walioanza na million 2 wakafanya makubwa tu
 
Kwani hio miaka 60 kuna ambaye hawazii mambo yake binafsi? Wengi si wapigaji tu tena ubaya wa hii miaka 60 mtu akishapata mkataba wa Utumishi tu ana relax maana anajua follow ups huwa sio rahisi na kufukuzwa ni ngumu serikalini hata akivurunda! Ndio maana mtu yupo radhi aache mshahara wa million private company akimbilie laki 8 ya serikaliniπŸ˜…
Atawazia mambo yake ndio
Ila kazini yupo mda mrefu na yeye ana moyo kwa hiyo vitu vya uongo na kweli atafanya πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Si unaona hata viongozi wetu wanapiga lakin panadol angalau hazikosi hosp kutupoza maumiv ya kichwa
 
Kila mwaka wanavyuo wengi wana graduate na kurundikana mtaani bila ajira huku wakihangaika kutafuta ajira bila mafanikio. Serikali kama mdau wa ajira nchini inapaswa kuja na wazo la ajira za mkataba kama ifuatavyo;-

1.Kwenye utumishi wa umma:
Mfumo wa ajira za maisha uondolewe yaani nesi, daktari, mwalimu n.k badala ya ajira zao kuwa za maisha ziwe za mkataba wa miaka mitano hadi kumi tena wakilipwa mishahara minono ili mkataba unapoisha mtumishi akajiajiri ili kuendeleza maisha yake! Hii itasaidia serikali kuajiri watumishi wapya wanaotafuta ajira kila siku na kupunguza uhaba wa ajira nchini!

2.Kwenye siasa:
Serikali itunge sheria itakayosimamia vyama vya siasa kutorudia kuteua majina yale yale kwenye uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani kila baada ya miaka mitano. Kuwe na ukomo wa utumishi wa kisiasa kwa miaka mitano mitano ili kuwapa nafasi wengine wenye sifa na vigezo vya kielimu vikichukuliwa kama sifa kuu mojawapo ya uteuzi. Angalau Shahada ya kwanza kwa ubunge na Astashahada kwa udiwani. Hii itatoa fursa kwa wengi kupitishwa na vyama vya siasa kwenye uchaguzi na kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini.

Nawakaribisha kwa mjadala huru na mwenye mawazo mbadala aongezee.
Mkuu hivi unadhani kwa nini serikali haiajiri ?
 
Miaka Mitano Inflation Ya Pesa Yako Itakuwaje. Umesave Mil 1 kila Mwezi je Hiyo Mil 1 itakuwa na Thamani sawa baada ya Miaka 5. Mil 1 ingenunua Bundle 3 za Bati tuseme leo 2021 je 2026 itaweza Kununua Bati Bundle 3 au Zitakuwa Mbili na Nusu au Mbili
Kama unajua kuna inflation na itakuathiri utaanza kununua materials mapema, problem solved
 
EXPERTS NA TOP MANAGEMENT WATAPATIKANA VIPI

MAISHA YA TRIAL AND ERROR
Hao Experts na Top Management wamefanya nini zaidi ya kuwa sehemu ya wizi wa rasilimali na ufisadi kama tuonavyo sasa.

Waziri mkuu na mkurugenzi ambaye ni expert wanashirikiana kutengeneza deal la kuiba mabilioni. Do we need those kind of people for so long? Mtu anaizoea ofisi anaanza hujuma sababu tu mkataba ni wa kudumu kama ndoa ya kiroma.
 
Acha ujinga wewe!!! Kwa mishahara hii ambayo haikidhi hata gharama za maisha ya kila siku matokeo yake Wafanyakazi wana madeni kila kona? Tia akili kichwani. Hakuna ujinga kama huu mahali popote pale duniani.
Mkuu nimezungumzia malipo ya 5 millions kila mwezi ambayo is enough kwa maisha ya kawaida kwa uchumi wa sasa. Watumishi wanaolipwa hio hela wanaishi maisha mazuri sana na anasa kibao wanafanya. Kwa miaka lets say mitatu.

Utafananisha na kulipwa laki 3 kwa miaka 6O?
 
Nenda na kipaza sauti bungeni kisha uwaambie billion 50 zimeibwa ambazo zingesaidia Tatizo la ajira LOL....nchi yetu ina ukiritimba mwingi ila ambacho mna suggest hakiko valid, sio kwa nchi yetu
Uamuzi unaweza fanyika vizuri tu na ukatekelezwa
 
We unaonekana unamenya serikalini wewe ndio maana hutamani ajira yako ikatishwe kwa mkataba! Mi nina hakika 80% ya waajiriwa ikatokea waambiwe ajira basi imetosha mpishe wengine basi kuna wengi tutawazika kwa presha.

Ugumu wakujiajiri uko pale pale ila utofauti utakuwa kwamba mwenye mtaji mkubwa ana chance kubwa yakutoboa mfano wewe umemeki 70M! Ukianza biashara ya 2M ikaanguka, ukarudia tena ikaanguka mpaka itakapokubali kuwork out you stand a chance by far!

Imagine graduate kafanya the same kwa 2M tu biashara imemkataa! Hela imepoteaa anarudishaje tumaini?
Wengi wao wakisitishiwa mikataba kwenye vibarua vyao huwa Wana undergo madness , halafu kujiajiri wanaongea kirahisi rahisi Tu .Sasa imagine depression wanayo undergo wasio na ajira kitaa ni ipi ?
 
Hiyo training waliyoipata na uzoefu kazini wataenda kuutumia kwenye sekta binafsi, hicho ndicho kinachofanyika Marekani ndio maana unaona watu wengi sana kwenye siasa na sekta binafsi ya Marekani ni wanajeshi wastaafu ila bado ni vijana.
Kweli kabisa mkuu
 
Wengi wao wakisitishiwa mikataba kwenye vibarua vyao huwa Wana undergo madness , halafu kujiajiri wanaongea kirahisi rahisi Tu .Sasa imagine depression wanayo undergo wasio na ajira kitaa ni ipi ?
Nape tu alivyopigwa bench alienda ikulu kwa magoti halafu mtu kama huyo azungumzie kujiajiri kirahisi tu mbaya zaidi huna mtaji
 
Hata sasa hivi kuna wanaoingia na kustaafu,kama ishu ni mitaji hio hela ambayo mnataka kuongeza kwa waajiriwa, ili wajilimbikizie ni vyema kama ingegaiwa kwa hawa wanaomaliza chuo iwe kama mitaji
Mbona kama unapinga kuondolewa kitengo kwa nguvu sana
 
Njoo nkupe pikpik yangu Mimi nataka kustaafu baada ya kuendesha bodaboda kwa miaka 5
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom