Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,692
Akijisahau si inakula kwake na ataikumbuka hio hela akiwa kwenye msoto! Kusema serikali itoe hela bure bure hizo pesa hazitawafikia walengwa!Wabongo tunajisahau sana kijana ukimpa mkataba wa miaka mitano anajisahau mpaka miaka mitano inaisha ndo anang’ang’ana anunue godoro