Uchaguzi umekuja umepita. CCM wamefanya walivy dhamiria, kutuibia watanzania haki yetu. Kutokana na maguvu na mabavu yao wataendelea kutukandamiza. Tukubali yaishe, lakini njia sasa inaelekea kwenye ukombozi wa kweli.
Itasha mkutano katika viwanja vya jangwani ili kuwashukuru watanzania wote walio kupigia kura. Ndiyo tukutane ili utupatie dira, tunaelekea wapi baada ya haya. Hakika Mungu yuko pamoja nasi na tutashinda tu.
Itasha mkutano katika viwanja vya jangwani ili kuwashukuru watanzania wote walio kupigia kura. Ndiyo tukutane ili utupatie dira, tunaelekea wapi baada ya haya. Hakika Mungu yuko pamoja nasi na tutashinda tu.