Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Mh.RAIS wangu MAMA SAMIA Pole na MAJUKUMU ya Kuliongoza TAIFA
Naomba nikukumbuke kidogo kuwa Mwaka 2013 kulikuwa na MRADI wa UJENZI wa MJI wa KAWE Dar salaam Mradi ambao ungekamilika MJI wa KAWE ungekuwa MJI MZURI kwa UKUBWA ktk JIJI la DAR ES SALAAM Mradi huu ulisimama Mara baada ya SERIKALI YA AWAMU ya 5 ilipoingia MADARAKANI Chini ya Rais MAGUFULI.Mradi huu tayari UMETUMIA Mabilioni ya Fedha za MASIKINI WALIPA KODI.
Kutoukamisha MRADI huu ni HASARA KUBWA kwa TAIFA na KUCHELEWA KUUKAMILISHA kutasababisha GHARAMA za UJENZI kuwa KUBWA hivyo basi TUNAKUOMBA UUKAMILISHE ili MJI WA KAWE uwe MJI Kama ULIVYOPANGWA KUWA.
Naomba nikukumbuke kidogo kuwa Mwaka 2013 kulikuwa na MRADI wa UJENZI wa MJI wa KAWE Dar salaam Mradi ambao ungekamilika MJI wa KAWE ungekuwa MJI MZURI kwa UKUBWA ktk JIJI la DAR ES SALAAM Mradi huu ulisimama Mara baada ya SERIKALI YA AWAMU ya 5 ilipoingia MADARAKANI Chini ya Rais MAGUFULI.Mradi huu tayari UMETUMIA Mabilioni ya Fedha za MASIKINI WALIPA KODI.
Kutoukamisha MRADI huu ni HASARA KUBWA kwa TAIFA na KUCHELEWA KUUKAMILISHA kutasababisha GHARAMA za UJENZI kuwa KUBWA hivyo basi TUNAKUOMBA UUKAMILISHE ili MJI WA KAWE uwe MJI Kama ULIVYOPANGWA KUWA.