Torero
Senior Member
- Dec 22, 2017
- 122
- 138
Ndugu,
Napenda kuchukua fursa hii kumshauri Rais Mtaafu wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete Ndani ya Mwaka huu 2019, afanye ziara ya kutembelea Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani na kutembelea wilaya zote kwa lengo la kuwasalimia ndugu Watanzania na atakapotembelea wilaya hadi wilaya apate fursa ya Kuongea na wananchi na kutoa salam.
Hii itasaidia sana kuonesha ya kuwa Rais mstaafu hawatupi watanzania na salam ni jambo jema sana kwa kuzungumza nao katika Maeneo yao. Siyo vyombo vya habari.
Ziara pia zutasaidia kutunza historia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuchukua fursa hii kumshauri Rais Mtaafu wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete Ndani ya Mwaka huu 2019, afanye ziara ya kutembelea Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani na kutembelea wilaya zote kwa lengo la kuwasalimia ndugu Watanzania na atakapotembelea wilaya hadi wilaya apate fursa ya Kuongea na wananchi na kutoa salam.
Hii itasaidia sana kuonesha ya kuwa Rais mstaafu hawatupi watanzania na salam ni jambo jema sana kwa kuzungumza nao katika Maeneo yao. Siyo vyombo vya habari.
Ziara pia zutasaidia kutunza historia.
Sent using Jamii Forums mobile app