Kijana nape ktk siasa ni kuvumiliana. We piga kazi tulia kila zama na mambo yake keep cool maisha ni upepo hutakiwa kuwa na haraka sana. Kila mtu hapa duniani mungu anampangia chake.....you do not need to panic.
U never know unaweza ukaitwa tena ndani ya baraza.....mfano mzuri Malima tumeona utulivu wake umemfanya arudi serikalini tena. Siasa bhana kama upo kwenye siasa mtaji wako ni kuvumilia. Nakumbuka enz za mwinyi kuna watu walipotea kwenye siasa harafu wakaibuka kwa Mkapa.
Kinachotakiwa ni kupigania jimbo lako lipate maendeleo that s all mengine ni mipango ya mungu na kuzijua siasa za Tanzania na Afrika.
Kila zama na mambo yake!!!!!
Enzi za JK kuna watu walikuwa wanatapika nyongo ili jk afeli lakini leo hao hao tena wanamkumbuka JK nafikiri jk huwa anacheka sana aliko. Siku JPM akiondoka naye hawa hawa watz wa kawaida wanaopiga kelele wataanza tena kutolea mifano.
Siasa zetu zinahtaji uvumilivu na kupigania jimbo lako kama mbunge. Siasa zina mambo yake ukiwa nje utakosoa kila kitu ila ukiiingia ndio hivyo tena......mfano mzuri ODINGA amekuwa waziri mkuu ndani ya serikali ya Kibaki but alifanya nini???? Kitu kirahisi duniani kukosoa
Kama watz let JPM atupe akili kidogo za maisha kupambana na maisha though JK alifanya mambo yake mazuri. Ukitembea nchi za wenzetu maisha sio rahisi kama yalivyo bongo wazeee tuwe wakweli. Bongo maisha rahisi sana ndio maana tunalialia sana...tembea south afrika njoo huku western africa, njoo hapa kenya maisha ni very tough ili vijana wanapambana na maisha yalivyo....na hii ndio maana watu akili zao zinafanya kazi.
Tuache kutegemea mishahara tu ule muda unaopewa na serikali hasa walioko serikalini kutoka kazini saa tisa, utumie kufanya other issues kupitia ujuzi wako....fuga hata bata, lima hata mboga mboga kwa mwezi uza utapata hela......
Baba JPM kazi boot usilegeze ili akili zetu watz zifunguke.....
siku moja nilienda mza kikazi nikafikia hotel moja KAPUNI(sheria za mitandao nazitii) nikawambiaa nitatoka asbh so nitahtaj breakfast....wakanikubalia naamka alfajiri watu wamelala tu.....wananiambia mbona asbh sana. Hii ndio tatizo kama taifa.
Wasalaam.
U never know unaweza ukaitwa tena ndani ya baraza.....mfano mzuri Malima tumeona utulivu wake umemfanya arudi serikalini tena. Siasa bhana kama upo kwenye siasa mtaji wako ni kuvumilia. Nakumbuka enz za mwinyi kuna watu walipotea kwenye siasa harafu wakaibuka kwa Mkapa.
Kinachotakiwa ni kupigania jimbo lako lipate maendeleo that s all mengine ni mipango ya mungu na kuzijua siasa za Tanzania na Afrika.
Kila zama na mambo yake!!!!!
Enzi za JK kuna watu walikuwa wanatapika nyongo ili jk afeli lakini leo hao hao tena wanamkumbuka JK nafikiri jk huwa anacheka sana aliko. Siku JPM akiondoka naye hawa hawa watz wa kawaida wanaopiga kelele wataanza tena kutolea mifano.
Siasa zetu zinahtaji uvumilivu na kupigania jimbo lako kama mbunge. Siasa zina mambo yake ukiwa nje utakosoa kila kitu ila ukiiingia ndio hivyo tena......mfano mzuri ODINGA amekuwa waziri mkuu ndani ya serikali ya Kibaki but alifanya nini???? Kitu kirahisi duniani kukosoa
Kama watz let JPM atupe akili kidogo za maisha kupambana na maisha though JK alifanya mambo yake mazuri. Ukitembea nchi za wenzetu maisha sio rahisi kama yalivyo bongo wazeee tuwe wakweli. Bongo maisha rahisi sana ndio maana tunalialia sana...tembea south afrika njoo huku western africa, njoo hapa kenya maisha ni very tough ili vijana wanapambana na maisha yalivyo....na hii ndio maana watu akili zao zinafanya kazi.
Tuache kutegemea mishahara tu ule muda unaopewa na serikali hasa walioko serikalini kutoka kazini saa tisa, utumie kufanya other issues kupitia ujuzi wako....fuga hata bata, lima hata mboga mboga kwa mwezi uza utapata hela......
Baba JPM kazi boot usilegeze ili akili zetu watz zifunguke.....
siku moja nilienda mza kikazi nikafikia hotel moja KAPUNI(sheria za mitandao nazitii) nikawambiaa nitatoka asbh so nitahtaj breakfast....wakanikubalia naamka alfajiri watu wamelala tu.....wananiambia mbona asbh sana. Hii ndio tatizo kama taifa.
Wasalaam.