Nyie waoga tu Nape aachwe kwenye fungate la bao la mkono. Hakuna mpenda sifa na mnafiki wa kisiasa ambaye amewakanyaga wengine kichwani kwa kutumwa na went chuki dhidi ya wanasiasa wengine ambaye mambo yatamuendea salama. Wengi wataharibikiwa hadi waijue kweli bado yule wakigoma ndiyo kapoteza mwelekeo moja kwa moja.