Namshauri Mh.Lowassa katika kufanikisha harakati zake za kujisafisha aandae kongamano katika kanisa lake na kutangaza kutubu waziwazi na kuahidi kurudisha mali yote aliyopata isivyo halali kwa masikini na kuwarudishia mara nne mali kwa watu aliowadhulumu na awombe radhi wote aliowadhalilisha na aahidi kubadilisha tabia yake.Hongera kwa kushinda kwa kuwanunua wamasai.