Ndugu zangu, hakika ni huzuni na masikitiko makubwa juu ya mh Lema mbunge wa Arusha Mjini kutokana na milima na mabonde aliyoyapitia tokea tarehe kama ya leo mwaka jana. Mbunge huyu amekuwa akiandamwa na maadui bila kikomo lakini hakika Mungu aliye hai amesimama juu yake ktk majaribu yote aliyoyapitia, hakuna siku Lema ameumia wala kupata jeraha lolote kutoka kwa maadui bali Mungu amekuwa akimuwekea kinga kuu kabla ya maadui kuinuka. Kutokana na hayo yote Mh Lema huna budi kutoa sadaka NONO mbele za Mungu kwa jinsi alivokuwezesha kwa kiwango hicho!