Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera.
Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.
Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.
Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.
Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"
Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"
Huyu kijana apewe ushauri gani?
Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.
Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.
Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.
Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"
Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"
Huyu kijana apewe ushauri gani?