Ushauri kwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya, Wizara ya michezo, TFF pamoja na BMT

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
IMG_20180125_091204.jpg


Good morning ladies and gentlemen. Shikamooni wakubwa zangu wote.

Hivi kwanini ndani ya mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya kusiwe na kitengo maalum cha kushughulukia matumizi ya mihadarati aina ya bangi pamoja na mengineyo kwa wanamichezo wetu wa hapa Tanzania?

Ukijaribu kuangalia picha hapo juu utaweza kujua dhahiri ya kwamba kitendo anachokifanya mchezaji yule dhidi ya mwenzake kinadhihirisha ya kuwa kuna utumiaji mkubwa sana wa mihadarati kwa idadi kubwa sana ya wanamichezo wetu.

For instance soccer player wa ligi kuu (Tanzania bara na Zanzibar) wangeweza kuwa wanafanyiwa check up hata katika maabara ya mkemia mkuu kabla ya kuanza kwa ligi kuu ili. Iwe ni lazima kwa kila club ya soccer kupeleka wachezaji wake kwenye ofisi za mkemia na zoezi zima linasimamiwa na kuratibiwa na TFF kwa kushirikiana na anti doping committee, task force au department (whichever name fits in) kilichopo ndani ya mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya.

Pia wanamichezo kabla ya kwenda kushiriki michezo nje ya nchi, they can be vetted as well kuona kama wana kiwango kibuwa cha mihadarati kwenye miili yao.

Hili ni wazo langu tu and I stand to be corrected.

Naomba kuwasilisha.

Follow me;
Military Intelligence Coup: Kisa cha rubani aliyeiba na kutoroka na Ndege ya Kijeshi ya Iraq
==========
K.G.B Espionage na Ujasusi kwa njia ya ngono kama silaha ya vita. Honey trap/Honeypot....Part One (1)
==========
Serikali na TRA, mnaweza kuwezesha utoaji wa risiti za VAT kwa njia ya mobile SMS. I stand to be corrected
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Wale waliokuwa na umri wa kutosha back 1980's watusaidie!!

Nasikia Fred Felix Minziro ( or probably someone else) alikuwa nao sana huo mchezo!

Kwenye kashi kashi ya mchezo karibu na goli; jamaa anakupiga finger ili tu kukutoa kwenye reli!

Ukiwa "bwege" (and of course hata mimi nisingekubali) na uka-panic na kuanza kurusha konde; jamaa anakuegeshea mgongo ili upige vizuri!!!

Kumbuka: Wakati mwenzako anakupiga finger, alianza kum-time refa yupo wapi! Lakini kwavile wewe ume-panic, hutakuwa na muda wa kuangalia refa yupo wapi na hapo hapo utaanza kurusha makonde!!

At the end: Dole umepigwa! Kadi Nyekundu umepewa... mwenzako Minziro anaendelea kupeta uwanjani!!!

So, hakuna cha dawa za kulevya wala nini sema Nyoso alibugi step!!

Wenzao akina Minziro walikuwa wanafanya hayo kwa sababu hapakuwa na umbea wa ku-review kideo!!!
 
Wale waliokuwa na umri wa kutosha back 1980's watusaidie!!

Nasikia Fred Felix Minziro ( or probably someone else) alikuwa nao sana huo mchezo!

Kwenye kashi kashi ya mchezo karibu na goli; jamaa anakupiga finger ili tu kukutoa kwenye reli!

Ukiwa "bwege" (and of course hata mimi nisingekubali) na uka-panic na kuanza kurusha konde; jamaa anakuegeshea mgongo ili upige vizuri!!!

Kumbuka: Wakati mwenzako anakupiga finger, alianza kum-time refa yupo wapi! Lakini kwavile wewe ume-panic, hutakuwa na muda wa kuangalia refa yupo wapi na hapo hapo utaanza kurusha makonde!!

At the end: Dole umepigwa! Kadi Nyekundu umepewa... mwenzako Minziro anaendelea kupeta uwanjani!!!

So, hakuna cha dawa za kulevya wala nini sema Nyoso alibugi step!!

Wenzao akina Minziro walikuwa wanafanya hayo kwa sababu hapakuwa na umbea wa ku-review kideo!!!
Issue sio hiyo mkuu. Swali ni kwamba kuna ulazima wa kupima mihadarati kwa wanamichezo wetu?
 
Issue sio hiyo mkuu. Swali ni kwamba kuna ulazima wa kupima mihadarati kwa wanamichezo wetu?
Huoni hoja yake amehusisha na suala la Nyoso na Boko kiasi cha kuandika "Ukijaribu kuangalia picha hapo juu utaweza kujua dhahiri ya kwamba kitendo anachokifanya mchezaji yule dhidi ya mwenzake kinadhihirisha ya kuwa kuna utumiaji mkubwa sana wa mihadarati kwa idadi kubwa sana ya wanamichezo wetu."

But all in all, hiyo program ya kuwapima ilikuwepo tangia enzi za Leodegar Tenga unless kama hawakuwa serious nayo... ugonjwa wetu Watanzania!
 
Ukweli ni kwamba wacheza soka wengi wa Tz wanavuta sana ndumu, tena sana tu. Na hii inatokana na chimbuko lao, wengi wameanzia soka viwanja vya mchangani ambavyo ndiyo vilinge maarufu kwa uuzaji na uvutaji wa bangi. Wachezaji wengine walikuwa wauzaji pia, so sishangai hoja iliyoletwa humu.
 
Na huyo jamaa wa house keep wa hotel nkajarbu kumbawabu akadai ndo kawaid yao hyo yan wakipanga hao lzma muokote mapul ya bnge mixer ngada bila kuchoka
Duuuuh. Sasa mbona mamlaka ya kupamnaba na mihadarati ipo, tff, bmt na wizara wote wapo kimya?
 
Back
Top Bottom