Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,905
- 13,352
Acha utani Mkuu, sio kwamba aongeze ili kuepuka tezi dume?aache nyeto
Acha utani Mkuu, sio kwamba aongeze ili kuepuka tezi dume?aache nyeto
35 si umri wa kuoa huoAcha utani Mkuu, sio kwamba aongeze ili kuepuka tezi dume?
Muhubiri 11:7-9
Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako. Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani. Furahia maisha pamoja na mke wako umpendaye muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa duniani; maana hilo ndilo ulilopangiwa maishani, katika kazi zako hapa duniani.
AMEN. Asante sana. What the Blessing.Muhubiri 11:7-9
Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako. Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani. Furahia maisha pamoja na mke wako umpendaye muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa duniani; maana hilo ndilo ulilopangiwa maishani, katika kazi zako hapa duniani.
Hapa kwa minyege wengine ndio tunafeli maana tunaishia kizika mihela kwenye papuchiAngalia maisha yako.
Sio kila mwanamke unaempenda umtokee,wengine unawapenda potezea utawasahau,itakuepusha na gharama zisizo na msingi.
Hakikisha una shughuli ya kujiajiri hata kama umeajiriwa.
Hakikisha unakuwa mtu asiyeongea pumba ukiwa na watu haijalishi umri wao.
Hakikisha unaweza kucontrol nyege zako kwa namna yeyote ile mradi usijivunjie heshima
Ah wee hiyo 20 percent ni ndogo wengine hesabu za haraka haraka ni kama 60%Hii Mzee baba inakuwaje? Mfano ukiweka asilimia kama 20 tu yamapato kwa shughuli hii. Inaweza uwa sehemu ya matumizi ?
Kivipi unaitumia hiyo 20% ?Hii Mzee baba inakuwaje? Mfano ukiweka asilimia kama 20 tu yamapato kwa shughuli hii. Inaweza uwa sehemu ya matumizi ?
full nondo1. Oa
2. Wekeza hata kwa kiasi kidogo
3. Jitume kwenye kila kazi ufanyayo
4. Acha anasa
5. Starehe kiasi
6. Kuwa na marafiki wenye faida/maana
7. Kuwa na marafiki wakubwa kwako kiumri
8. Fanya ibada
9. Heshimu na linda familia yako
10. Kuwa na msimamo binafsi usiwe muoga