Ushauri kwa Lipumba na Maalim Seif

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
1,947
253
Baada ya Matokeo haya ya Igunga nyumbani kwa Menyekiti wa CUF Pro. Ibrahimu Haruna Lipumba kuangukia pua kabiiiisaaaaaa na ambapo Makamu wa Rais wa Zanzibar ni katibu wake mkuu.

Ningeshauri sasa waone chama chao kinapoteza mwelekeo kwa kukaa mdarakani muda mrefu sana na hakuna jipya lolote kwa Sasa la kuwekeza kwenye fikra za watanzania ili kuendelea kuongezeka umaarufu wake.

Ushauri wangu wa Bure kwao usio na utashi wa kisiasa ni;

1. Wakubali kuungana na CCM waweke sera moja kiutawala kwani haitakuwa na jipya baada ya kuungana Zanzibar.

2.Viongozi woote wakuu wakubali kujivua gamba kama sera za mashoga wao CCM ili kujenga nguvu mpya kwa watanzania.

3.Kukubali fika kuunga mkono chadema kuwa ni chama dume kinacholeta mageuzi kwa watanzania bila kuchafuana kimtizamo na kiimani.

4. MENGINE WADAU ONGEZEENI MAANA NI USHAURI WA BURE.
 
Baada ya Matokeo haya ya Igunga nyumbani kwa Menyekiti wa CUF Pro. Ibrahimu Haruna Lipumba kuangukia pua kabiiiisaaaaaa na ambapo Makamu wa Rais wa Zanzibar ni katibu wake mkuu, Ningeshauri sasa waone chama chao kinapoteza mwelekeo kwa kukaa mdarakani muda mrefu sana na hakuna jipya lolote kwa Sasa la kuwekeza kwenye fikra za watanzania ili kuendelea kuongezeka umaarufu wake.
Ushauri wangu wa Bure kwao usio na utashi wa kisiasa ni
1. Wakubali kuungana na CCM waweke sera moja kiutawala kwani haitakuwa na jipya baada ya kuungana Zanzibar.
2.Viongozi woote wakuu wakubali kujivua gamba kama sera za mashoga wao CCM ili kujenga nguvu mpya kwa watanzania.
3.Kukubali fika kuunga mkono chadema kuwa ni chama dume kinacholeta mageuzi kwa watanzania bila kuchafuana kimtizamo na kiimani.
4. MENGINE WADAU ONGEZEENI MAANA NI USHAURI WA BURE.

Ni vizuri waungane na walioshindwa wenzao ili wajaribu tena baada ya kuunganisha nguvu.
 
Zipo ndoa za wake wawili lakini hakuna ndoa ya mabwana wawawili. Kuwa makini juu ya hili.

Ahsante Daudi kwa jibu hili.maana ukweli unaonekana na mtaji wa kura 10000 umepotea igunga ikaenda kwa CCM..Sasa iweje tuoane na wao wakati tayari wapo katika ndoa???
 
sio bure utakua umechanganyikiwa na matokeo yajana ya huko igunga after magwanda yenu kupigwa goli la kisigino na ccm,nenda kalale upate mapunziko labda utakuja na akili mpya ila sio huu uharo unaoutoa hapa,unaonekana bado una jinamizi la kubwagwa igunga.
Umepanic sana kijana, hebu vuta pumzi alafu relax.Wanachama wengi wa CUF mnaandamwa na ugonjwa wa kukosa political tolerance na huu ugonjwa ndani ya CUF muasisi wake ni Mtatiro na matokeo ya ugonjwa huu unaokutesa bwana Mwera ni zile kura 0 mlizozipata kwenye vituo vingi vya uchaguzi Igunga. 2015 CUF inazikwa rasmi.
 
CUF huku bara ni Jina tu, wao muhimu ni Zanzibar. huku kwetu wako ili lipumba ende choo tu. Waking'oa majeshi Lipumba atakufa njaa.
 
Hili jina la Mwera kama ndiye yule wa Tarime aliyefikiri bado anakubalika na kugombea kupitia CUF akaangukia pua vilevile,
No comment kwa Sababu ccm kuna laana ya kufikiri kutumia masaburi na Cuf kuna laana ya kuwa mazezeta wa Kisiasa


sio bure utakua umechanganyikiwa na matokeo yajana ya huko igunga after magwanda yenu kupigwa goli la kisigino na ccm,nenda kalale upate mapunziko labda utakuja na akili mpya ila sio huu uharo unaoutoa hapa,unaonekana bado una jinamizi la kubwagwa igunga.
 
Umepanic sana kijana, hebu vuta pumzi alafu relax.Wanachama wengi wa CUF mnaandamwa na ugonjwa wa kukosa political tolerance na huu ugonjwa ndani ya CUF muasisi wake ni Mtatiro na matokeo ya ugonjwa huu unaokutesa bwana Mwera ni zile kura 0 mlizozipata kwenye vituo vingi vya uchaguzi Igunga. 2015 CUF inazikwa rasmi.

Nyie wote bwana yenu ni CCM amewafanya vibaya igunga na ndio mtawala wa nchi . Nashangaa mnaanza kusutana tena !
 
Ningeongezea kidogo, si kwamba cuf imeonyesha kuwa haipo tena huku bara kwenye uchaguzi wa Igunga tu, angalia hata matokeo ya madiwani jamaa wameendelea kutoka na namba za viatu vya kike, sehemu waliopata kura nyingi za madiwani ni kura 4.
Ushauri wangu kwa Seif na Lipumba ni kwamba wapishe damu mpya wao wawe washauri tu badala ya kung'ang'ania madaraka tu.
 
Hili jina la Mwera kama ndiye yule wa Tarime aliyefikiri bado anakubalika na kugombea kupitia CUF akaangukia pua vilevile,
No comment kwa Sababu ccm kuna laana ya kufikiri kutumia masaburi na Cuf kuna laana ya kuwa mazezeta wa Kisiasa

wanaojiita wanaume huko zanzibar, huku bara ni mdebwedo kabisa, ndo maana nakubaliana na mtoa thread kwamba, CUF wahamie tu zenji bara watuachie wenyewe wanaume wa kazi, peopleeeeeeeeeez, pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Good advice take it Mr Seif and Prof. Lipumba join with CCM and go on, prof unaweza ukawa mbunge wa kuteuliwa na hata Naibu waziri basi na mjumbe wa cc wa ccm cuf inafutwa kwa tendwa
 
Nyie wote bwana yenu ni CCM amewafanya vibaya igunga na ndio mtawala wa nchi . Nashangaa mnaanza kusutana tena !
Umenivaa kwa hasira sana kama vile wewe ndo Kafumu na mimi ndo Kashindye,Hebu punguza jazba alafu endelea kushangaa kama ulivyosema bwana green guard.
 
Good advice take it Mr Seif and Prof. Lipumba join with CCM and go on, prof unaweza ukawa mbunge wa kuteuliwa na hata Naibu waziri basi na mjumbe wa cc wa ccm cuf inafutwa kwa tendwa

Mashiko kama kweli Lipumba angekuwa anania njema ya kutetea watanzania si mpaka Ikulu??? angeenda hata Igunga kusimama yeye kama yeye agombee kukaa bungeni..ila naona anaitaka ikulu tuuu ndiyo atuonyeshe kazi na uchumi....Hatumii masaburi kweli????
 
Baada ya Matokeo haya ya Igunga nyumbani kwa Menyekiti wa CUF Pro. Ibrahimu Haruna Lipumba kuangukia pua kabiiiisaaaaaa na ambapo Makamu wa Rais wa Zanzibar ni katibu wake mkuu.

Ningeshauri sasa waone chama chao kinapoteza mwelekeo kwa kukaa mdarakani muda mrefu sana na hakuna jipya lolote kwa Sasa la kuwekeza kwenye fikra za watanzania ili kuendelea kuongezeka umaarufu wake.

Ushauri wangu wa Bure kwao usio na utashi wa kisiasa ni;

1. Wakubali kuungana na CCM waweke sera moja kiutawala kwani haitakuwa na jipya baada ya kuungana Zanzibar.

2.Viongozi woote wakuu wakubali kujivua gamba kama sera za mashoga wao CCM ili kujenga nguvu mpya kwa watanzania.

3.Kukubali fika kuunga mkono chadema kuwa ni chama dume kinacholeta mageuzi kwa watanzania bila kuchafuana kimtizamo na kiimani.

4. MENGINE WADAU ONGEZEENI MAANA NI USHAURI WA BURE.


Maalimu Seif ya bara hayamhusu. We unaona ana interest na huku tena baada ya kupata kilichomliza miaka yote. Lakini ajue kuwa wazanzibari waliokufa kwenye mapambano huko zanzibar hawakuwa na lengo la yeye kuwa makamu na kutulia kama alivyotulia. Shame upon you!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom