Ushauri kwa KIKWETE na NEC/ Makame

MkamaP

JF-Expert Member
Jan 27, 2007
8,140
3,209
Natumai nyote mko salama.

Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua.

Ushauri wenyewe
Tangazeni matokeo kama yalivyo hakuna haja kuyabana bana. Hata kama umeshindwa jaribu kumkabidhi ofsi aliyeshinda kwa amani na tabasamu.Hakika ukifanya hivyo utaishi kwa amani.

Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.

ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.

Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.
 
Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.
Hapo ndipo ulipofunga mjadala lakini JK anaamini kuwa NEC itaendelea na mfumo uliopo hadi hapo watanzania watakapoleta machafuko kama yale ya Kenya na hapo ndipo NEC itaundwa upya na kuwa huru na haki..............................hii ndiyo akili finyu ya viongozi uchwara tulionao hapa nchini na ndiyo maana kamwe nchi hii haiwezi kuendelea.tutabaki na umasikini wetu milele............hadi hapo tutakapoanza kuheshimu haki ya wapigakura kujichagulia viongozi wao wenyewe..................................................
 
Natumai nyote mko salama.

Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua.

Ushauri wenyewe
Tangazeni matokeo kama yalivyo hakuna haja kuyabana bana. Hata kama umeshindwa jaribu kumkabidhi ofsi aliyeshinda kwa amani na tabasamu.Hakika ukifanya hivyo utaishi kwa amani.

Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.

ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.

Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.

Heshima kwako MkamaP!

Tatizo watu kama akina Kikwete hawana uwezo wa kuona mbali vile vile hajijui. Kama angekuwa anajijua vizuri nina imani hata urais asinge gombea kwa mara ya kwanza. Wanafikiri leo tu, aliingia madarakani hata hajui matatizo ya watanzania hivyo hakuwa na lengo lolote lile alichotaka kuwa rais wa nchi. Sio ajabu alipoulizwa kwa nini Tanzania bado masikini mpaka leo alisema hajui.

Nina imani kwa sasa anajua moyoni mwake kuwa nchi imemshinda na hana jipya lakini yupo kwa sababu anataka aitwe rais wa Tanzania, kwa hiyo sio rahis kwake kukubali matokeo kwa sababu hana uwezo wa kuchanganua mambo. Anaelewa kuwa kuna mikoa akienda watu hawamtaki kabisa lakini anjifanya halioni hilo.

Mungu ibariki Tanzania;

Njimba
 
Mkamap:

Kwa uchaguzi wa rais CCM wameshinda. Tena wameshinda kihalali. Matatizo yanayokuja je walioshindwa watakubali matokeo?
 
Mkamap:

Kwa uchaguzi wa rais CCM wameshinda. Tena wameshinda kihalali. Matatizo yanayokuja je walioshindwa watakubali matokeo?

Sasa kama wameshinda kwa mbali kwanini wanajiumauma kuweka mambo hadharani?
 
Mkamap:

Kwa uchaguzi wa rais CCM wameshinda. Tena wameshinda kihalali. Matatizo yanayokuja je walioshindwa watakubali matokeo?

Wewe ndio unaesema hivyo, na kama anashinda kihalali ni vema tu ila kama anachakachua ili ashinde kwa kishindo ajue kuwa baadae yatajulikana tu na ikitokea kaingia presidaa say wa upinzani mambo yanaweza kumuwia magumu sana hata akajuka kwa nini aliwahi kuwa presidaa

Hii dunia haiko static hata siku moja. Ni bora utende haki kuliko ukajutia maisha yako yote ya uzeeni.
 
Natumai nyote mko salama.

Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua.

Ushauri wenyewe
Tangazeni matokeo kama yalivyo hakuna haja kuyabana bana. Hata kama umeshindwa jaribu kumkabidhi ofsi aliyeshinda kwa amani na tabasamu.Hakika ukifanya hivyo utaishi kwa amani.

Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.

ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.

Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.


Kama kawaida yako!
 
Wewe ndio unaesema hivyo, na kama anashinda kihalali ni vema tu ila kama anachakachua ili ashinde kwa kishindo ajue kuwa baadae yatajulikana tu na ikitokea kaingia presidaa say wa upinzani mambo yanaweza kumuwia magumu sana hata akajuka kwa nini aliwahi kuwa presidaa

Hii dunia haiko static hata siku moja. Ni bora utende haki kuliko ukajutia maisha yako yote ya uzeeni.

Chesty:

Numbers don't lie. Sehemu ambazo CCM wameshinda ubunge, wameshinda pia kiti cha urais.. So why don't you use your own brain.
 
Chesty:

Numbers don't lie. Sehemu ambazo CCM wameshinda ubunge, wameshinda pia kiti cha urais.. So why don't you use your own brain.

Mkuu,
Wayatangaze hayo matokeo, maana hata kama ccm imeshinda na kuendelea kuyakalia kunaleta taswira ya ndiyo sivyo. Mbona seif kakubali kiungwana, naamini haki ikitendeka kwa mda muafaka hakuna atakayebisha, lakini, haki ikitendeka kwa mda usio mwafaka watu watabisha.

Namuomba tena Raisa KIKWETE atangaze matokeo ni maombi tu.
 
Mkuu,
Wayatangaze hayo matokeo, maana hata kama ccm imeshinda na kuendelea kuyakalia kunaleta taswira ya ndiyo sivyo. Mbona seif kakubali kiungwana, naamini haki ikitendeka kwa mda muafaka hakuna atakayebisha, lakini, haki ikitendeka kwa mda usio mwafaka watu watabisha.

Namuomba tena Raisa KIKWETE atangaze matokeo ni maombi tu.

Uungawana upo pande zote mbili. Hivi kwa kuangalia trend ya matokeo kuna ubaya gani kiongozi wa upinzani concede defeat. Kwani CHADEMA hawaoni matokeo yanavyokuja?
 
Chesty:

Numbers don't lie. Sehemu ambazo CCM wameshinda ubunge, wameshinda pia kiti cha urais.. So why don't you use your own brain.

Wala sipo hapa kubishana na wewe ila natoa angalizo, matokeo yatoke kama yalivyo na in fact hayakutakiwa kuchelewa cos ni kujumlisha tu. My point ni kuwa iwapo Kikwete atashinda wote tutampongeza ila kama kuna kura hata moja imeibiwa itajulikana tu iwe ni kesho au anytime in future.

Na if that is the case future ya mchakachuaji ipo at stake. Hii dunia ya leo si ya lele mama, akina Chiluba wanaelewa zaidi.
 
Uungawana upo pande zote mbili. Hivi kwa kuangalia trend ya matokeo kuna ubaya gani kiongozi wa upinzani concede defeat. Kwani CHADEMA hawaoni matokeo yanavyokuja?

Matokeo yanakuja mshindi hajatangazwa na referee halafu unakubali kushindwa, are you serious? O yeah you must be very serious. Kumbe tactic ilikuwa tuanze sehemu tulizoshinda ili wakiona waconcede defeat! Hapana kuna majimbo yenye wapiga kura wengi watu wanayasubiria na sio ya Zenji ya watu laki 3.
 
ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.

Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.

Hii ni kweli kabisa, ila Kikwete ana upeo huo wa kutafakari unachosema? Yeye anaona raha anapopita anapigiwa ving'ora na saluti basi roho yake kwatu!
 
Watu wengine wanamtindio wa ubongo. Sitayari mna matokeo mikononi mwenu yaliyosainiwa na mawakala wenu, kwani suala nikujumlisha tu, kwanini msijumulishe halafu mseme kuwa nyinyi mnaongoza, nijuavyo mimi, hata kama mngepata robo tu ya kura alizopata jk pangekuwa hapatoshi, kwani jinsi mlivyo watu wa shari hata askari wetu wangetumia nguvu. Bora mungu amewaepushia mbali. Sasa mmebaki kutapata tu wakati matokeo yote mnayo mikononi mweni. Poleni sana. See you again 2015, lakini muache ukabila na udini. Pia msiwatumie watu wengine kama ngazi ili kutimiza malengo yenu binafsi. I trust slaa, lakini wengi wa watu waliopo nyuma yake, no please.
 
Matokeo yanakuja mshindi hajatangazwa na referee halafu unakubali kushindwa, are you serious? O yeah you must be very serious. Kumbe tactic ilikuwa tuanze sehemu tulizoshinda ili wakiona waconcede defeat! Hapana kuna majimbo yenye wapiga kura wengi watu wanayasubiria na sio ya Zenji ya watu laki 3.

I am very serious. MaCain conceded kabla kura hawajamaliza kuzihesabu. Na kuhusu majimbo yenye wapiga kura wengi naona unaendeleza ushabiki usio na mpango. Majimbo ya uchaguzi yanapangwa kutokana na idadi ya watu. Hivyo karibu majimbo yote yana idadi ya watu sawa. Kwa mtaji huo ukiangalia trend tu, utajua nani kashinda.
 
Wewe Zakumi, unasema CCM wameshinda uraisi, nani kakwambia. hata 20 percent ya matokeo hayajatoka wewe unadai wameshinda, wapi vidhibitisho?
 
I am very serious. MaCain conceded kabla kura hawajamaliza kuzihesabu. Na kuhusu majimbo yenye wapiga kura wengi naona unaendeleza ushabiki usio na mpango. Majimbo ya uchaguzi yanapangwa kutokana na idadi ya watu. Hivyo karibu majimbo yote yana idadi ya watu sawa. Kwa mtaji huo ukiangalia trend tu, utajua nani kashinda.

Kama haujui kitu kaa kimya utaonekana una busara sana kuliko kuropoka. No research no right to speek hapa simaanishi ile research ya kitaalamu zaidi ila naomba usikilize matokeo yakitangazwa leo au usome sehemu yoyote utapata majibu ya hiyo nyekundu
 
Mkamap:

Kwa uchaguzi wa rais CCM wameshinda. Tena wameshinda kihalali. Matatizo yanayokuja je walioshindwa watakubali matokeo?

Wameshinda kabla ya matokeo? unafanya propaganda au unazungumzia uhalisia?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom