Kampuni hiyo isithubutu kuajiri au kuwarithi wafanyakazi waliokuwa kwenye Kampuni ya UDART. Njooni na Wafanyakazi wenu wapya, kwenye interview mkimhoji mtahiniwa na akasema yeye alikuwa UDART, asipewe kazi kabisa
Kwa sababu wafanyakazi wa Kampuni hiyo ni wa hovyo, wasikojua customer care wala kujali Mali za ofisi. Wana lugha mbaya wasiojua Time table, hawana ubunifu na Mwisho ni wabadhirifu.
Kuanzia Mameneja, Madereva hadi wasimamizi wa vituo wote hawafai.
Kampuni mpya itakayoshinda zabuni hiyo tafadhali zingatieni hayo na pia msikubali kuajili wafanyakazi kwa Vi memo vyovyote, mtaharibu biashara yenu.
Kwa sababu wafanyakazi wa Kampuni hiyo ni wa hovyo, wasikojua customer care wala kujali Mali za ofisi. Wana lugha mbaya wasiojua Time table, hawana ubunifu na Mwisho ni wabadhirifu.
Kuanzia Mameneja, Madereva hadi wasimamizi wa vituo wote hawafai.
Kampuni mpya itakayoshinda zabuni hiyo tafadhali zingatieni hayo na pia msikubali kuajili wafanyakazi kwa Vi memo vyovyote, mtaharibu biashara yenu.