Toto Zembe
Member
- Jul 15, 2019
- 74
- 99
Jeshi la zima moto kwanza nawapongeza kwa kazi nzuri ya kutekeleza majukumu yenu, lakini kuna sehemu mnakwama,.Sehemu hiyo ni katika utoaji wa elimu kuhusu majanga ya moto na jinsi gani ya kuchukua tahadhali pale janga linapo tokea
Jaribuni kutoa elimu kupitia vyombo vya habari na hata ikiwezekana kuanzisha akaunti maalum ya YouTube,ili kuwafikia watu wengi bila kusahau kuanzisha hata vidawati vya kutoa elimu.
Wito wangu ni huo asanten sana.
Jaribuni kutoa elimu kupitia vyombo vya habari na hata ikiwezekana kuanzisha akaunti maalum ya YouTube,ili kuwafikia watu wengi bila kusahau kuanzisha hata vidawati vya kutoa elimu.
Wito wangu ni huo asanten sana.