Ushauri kwa IGP ernest mangu

NgugiAchebe

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,025
688
Kitugani kinazuia mh mbowe kukamatwa na kuhojia kutokana na swlaa la ben saa 9 ?
Nijuavuo mimi mtu akipatwa na tatizo ya kupotea mtu wa kwanza kuojia ni wazazi wa muhusika na mwajiri wake ndio wa lengwa, hao ili kupata maelezo kamili
Cha kushangaza mbowe bado hajaojia hata siku moja sisi wananchi na vijana tufikie nini juu la swala hili?
 
Kitugani kinazuia mh mbowe kukamatwa na kuhojia kutokana na swlaa la ben saa 9 ?
Nijuavuo mimi mtu akipatwa na tatizo ya kupotea mtu wa kwanza kuojia ni wazazi wa muhusika na mwajiri wake ndio wa lengwa, hao ili kupata maelezo kamili
Cha kushangaza mbowe bado hajaojia hata siku moja sisi wananchi na vijana tufikie nini juu la swala hili?
Weka kifungu cha hiyo sheria ya kuwakamata hao watu mtu akipotea..tutendee haki tafadhali
 
Mzazi haezi kuojia tena kwa sababu alishapeleka malalamiko ya kumtafuta mwanae
Bado mbowe

Mbona umepaniki
 
Kitugani kinazuia mh mbowe kukamatwa na kuhojia kutokana na swlaa la ben saa 9 ?
Nijuavuo mimi mtu akipatwa na tatizo ya kupotea mtu wa kwanza kuojia ni wazazi wa muhusika na mwajiri wake ndio wa lengwa, hao ili kupata maelezo kamili
Cha kushangaza mbowe bado hajaojia hata siku moja sisi wananchi na vijana tufikie nini juu la swala hili?
Inamaana Mbowe siku hizi amekuwa sehemu ya police au Usalama was taifa? Ikiwa siyo he jukumu la police in nini?
Inaonyesha umejawa na ushabiki was kitu usicho kijua.
Sema ukweli wewe.
Yeye alitishiwa na watu was serikali na akatoa taarifa police mbona huulizi kwanini police hawakuchukua hatua?
Mwenye jukumu la kulinda usalama wa watu ma Mali zao no police pamoja na usalama wa taifa.
Inaonyesha hata wewe ni mmoja wa wanaojua hili suala vizuri sana nenda kaeleze umemuweka wapi Ben
 
Kitugani kinazuia mh mbowe kukamatwa na kuhojia kutokana na swlaa la ben saa 9 ?
Nijuavuo mimi mtu akipatwa na tatizo ya kupotea mtu wa kwanza kuojia ni wazazi wa muhusika na mwajiri wake ndio wa lengwa, hao ili kupata maelezo kamili
Cha kushangaza mbowe bado hajaojia hata siku moja sisi wananchi na vijana tufikie nini juu la swala hili?
Unaonekana unatafuta ukuu wa wilaya wewe
 
Back
Top Bottom