Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,352
Vijana bana....mke wa mtu huyo.....ana mmewe huyo.....ipo siku bwana wake atamtafuta
Kwani wakati anakuacha alikua hajui kama upo?
Kwani wakati anakuacha alikua hajui kama upo?
ummpe mimba na wwKisasi kivipi mkuu
Alinitafuta kwa namba hiyoo mpyaaaUmebadili line halafu akakutumia sms.
Kuna kauongo fulani,
Kwa yule anayesoma ndani ya ulichoandika atagundua
Sawa sawa Mkuu umesomekaNever turn back too while far ahead there is cool water.... Sikiliza moyo wako mkuu
HILI nalo neno zuri kabisa hapa akili imekuja ngoja nimalize kunywa kahawaYaani ulee mimba au mtoto wa mwanaume mwingine yamemchachia huko ndo anakufata ningekua mie ningepiga Chini je huko mbeleni akibadilika ndo utajinyonga kabisa
HATARI Mkuu kuna kila aina ukweli juu ya unalozungumzakama alipata dereva akakucha akipata muasibu TRA siatakutukana matusi yote.
mzazi mwenza akirudisha majeshi atakusumbua tena.
Trust me huyo yupo ili umsaidie kwa mfano mie labda boyfriend aniache akaoe uko vimchachie ndo ajirudishe kwangu siwezi kukubali mtu nilishamsahau aje anikumbushie machungu wa nn kata mawasiliano tu mblok kila sehem utapata atakaekupenda kwa shati wamejaa kibaoHILI nalo neno zuri kabisa hapa akili imekuja ngoja nimalize kunywa kahawa
Nimekuelewa miss kitongojiTrust me huyo yupo ili umsaidie kwa mfano mie labda boyfriend aniache akaoe uko vimchachie ndo ajirudishe kwangu siwezi kukubali mtu nilishamsahau aje anikumbushie machungu wa nn kata mawasiliano tu mblok kila sehem utapata atakaekupenda kwa shati wamejaa kibao
Mana mwezi huu tangu uanze mpaka sasa mwendo wa kuniganda sanaa mpaka nikaona bora nijaribu kutafuta ushauri kwa ndugu jamaa na marafiki ILI kuona maoni yapoje kwanzaaTrust me huyo yupo ili umsaidie kwa mfano mie labda boyfriend aniache akaoe uko vimchachie ndo ajirudishe kwangu siwezi kukubali mtu nilishamsahau aje anikumbushie machungu wa nn kata mawasiliano tu mblok kila sehem utapata atakaekupenda kwa shati wamejaa kibao
We jamaa bado unamtaka huyo mchuchu...I can guess ur feeling..Wazo lako zuri sana Mkuu ntalifanyia kazi
Mkuu kula tano..Huwezi msaidia Mke wa mtu kwa siri, na ukijua mlikua wapenzi. Huyo demu unampenda, acha kuzingua... Wewe ndio chanzo.. Ulipompa pesa alianza kumdharau mumewe na kukuona wewe ndiye unayemthamini.... Chanzo ni wewe! Oa
Sina hisia naye kabisaaa kwa sasa namuona kama mtu wa kawaidaa tuuWe jamaa bado unamtaka huyo mchuchu...I can guess ur feeling..
Besides ...usikilize moyo wako then make decision
Ila bado unampenda uwongoo?
Kwanza inaezekana hiyo mimba ilikuwa ya mleta mada...Kijana inavyoelekea bado unampenda huyo binti ndo mana unaendelea kumuhudumia kwa kumtumia pesa as if hana mume kumbe ni mke wa mtu.
Yaani yupo kwenye ndoa lakini pesa za matibabu na matumizi mengine unatoa wewe!!!!!!
Ama kweli kijana umekufa na kuoza kwa huyo mrembo,
Muoe tu hakuna namna!!
Mimba wakati nimekwambia NILIKUA jkt wakati huo ndio alitundikwaaKwanza inaezekana hiyo mimba ilikuwa ya mleta mada...
Asee mi sioi..
Kwanza inaezekana hiyo mimba ilikuwa ya mleta mada...
Asee mi sioi..