Ushauri kwa Graduates wasio na kazi

Kilimo kinahitaji mtaji na usimamizi mzuri ili utoe product yenye quality tofauti na hapo andika maumivu
 
Kilimo ni risk sana kwa tz but bado ndio njia pekee ya kukuza mitaji ya wanyonge. Mm bina uzoefu san n kilimo kuanzia matikiti, nyanya ambayo yanahitaj mtaj mkubwa mno pia mpunga mbarali- kapunga na mawindi, mahindi nimelima sana kule mbinga- kiamili- mkako nkauza mpaks bei debe 2000/= na ata mazao mengine bado nalima na now karibuni ntokela mbeya tuvune viazi.
Usikurupuke kwenye biashara yoyote kisa umeambiwa ina faida think twice alaf tatzo ya vijana weng hasa wasom wakiingia kwenye miji ya watu wanataka waish maisha waliokuwa wanaish college.

Kilimo ndio kinachosomesha vijana wengi na wengne wapo vyuo vikuu but baada ya kupata elimu ndo mnageuka kuwa kilimo sio kazi mbona wakat mnatumiwa pocket money hamkuwaambia wazazi wenu kuwa agr ni laana the way mnavyosema now??.

Wengn tumezaliwa dsm, kusomea town kuanzia primary mpka university na ata course ni tofaut na agr jembe tukashka ukubwan but baada ya kuingia kwenye agr nikaona inalipa but sio kam weng wanavyosema ila ukiwa smart unapata profit vizur tu japo hutolibgana na wengn kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.

Ata biashara ni yale yale jaribu kkoo au eneo lolote ata masokon kama ujakata mtaji wako ukiingia kichwa kichwa, kumbuken hakun anaefanya kitu cha LOSS na kurudia miaka kwa miaka
 
Ukikurupuka lazma itakupasua mm mwenyew nilishawahi kupata loss ya hatar kwenye matkt n nyanya but reason nilikuja kurealize kuwa nilikurupuka coz figure ya mapato yalikuwa makubwa kama ya BIKO, But ukitulia lazma utafanikiwa kwenye kila unachofanya sio lazma ufanye kila kinachotajwa unaweza ukabuni ata utafutaj wako na katoboa.
 
inahitaji kutuliza kichwa sana mpaka kufika kwenye kiwango cha kuanza kutengeneza pesa kama inavyoonekana kwa watu waliofanikiwa na hyo biashara, walio wengi wanaingia huku kwa shauku ya kutaka kuwa matajiri haraka bila kujua kama soko ni pana sanaaaa inakuhitaji muda na akili tulivu kufika hapo.
Hapo sawa nimekuelewa.
 
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi wala mtaji lakini unaweza ukamkuta na vitu hvi either kimoja or vyote.

1. Smartphone ya ghali (iphone 6 ,7,8 nk au samsung ya ghali sana.

2. Laptop isiyo na manufaa kwake (anatumia kuangalia movie).

Ushauri wangu:
Kama huna kazi na mtaji na upo kwenye hayo makund ya kumiliki vitu hvyo uza alaf fanya yafuatayo.

1. Ukiuza ukapata ata 400k unaweza ukazama ndichi ukaenda kukod shamba kwa ata 30k kwa heka ukalima maharage au zao lolote lisilo ns gharama na ukwekeza nguvu zako kuminimize cost unaweza ukatumia 300k n ukanunua ata Tecno ya kuwasalimia wadau online ukiwa ndichi.

Najua wengne mtajiuliza mashamba ya bei hyo unapata wap but hyo bei ukienda mkoa wa ruvuma kuanzia namtumbo, songea, mbinga, madaba, peramiho kote huko unapata mpka kwa 20k.

Pia ata songwe unapata kwa 40 to 50k, sumbawanga ni 25-50k, chunya ni 30-50k, njombe (mavanga) kunakubaki sana maharage kule ni 40k.

2. Kuna jamaa aliuza simu yake kwa 250k baada ya kitaa kumweka sawa akaenda kununua hle mashine ya fingerprint Famoco na kutoa aibu nabkuingia kitaa kusajili line mpaka sasa anapata commision around 200-350k per month na alitumia miezi mitatu tu akanunua tena simu na life go on.

3. Unaweza ata ukaenda masokon ukanunua mitumba viatu au nguo na kuanza kuuza kwa kuwa una elimu utaweza ata kutumia platform za social media kutafuta customers. (but degree uiweke pembeni).

4.Ukasubiri msimu wa mavuno ukaenda vijijin haswaaa ukanunua mazao kwa bei ya kulangua ukifika tiwn kidogo ukala cha juu huku ukiwa unakuza mtaji wako ikifika kubwa unafkisha town kabisa au unaprocess mwenyewe.

5. Ukiona zotehazikufai unasubiri Uncle atangaze ajira karibu forex utrade ukiwa n stress uchome account alaf uanze tena kutia huruma mtaani.

NB: Achana na motivational speakers wanakugeuza wewe fursa. Kilimo sio lazima uwe na miliioni ndo uanze kuna maeneo unapewa mashamba alaf unalipa gunia either 1 au 2 ukivuna so hapo inakuwa ni nguvu yako tu.

# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business.

Wadau wengine wataongezea lengo letu sote ni kufanikiwa tukumbuke tupo uchum wakati.

Siwezi kufanya hivyo...Tuunge juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Pombe Joseph Magufuli atatupa ajira
 
Siwezi kufanya hivyo...Tuunge juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Pombe Joseph Magufuli atatupa ajira
Alishawaambia mkashike moko hana mpango huo bado anajenga nchi.
 
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi wala mtaji lakini unaweza ukamkuta na vitu hvi either kimoja or vyote.

1. Smartphone ya ghali (iphone 6 ,7,8 nk au samsung ya ghali sana.

2. Laptop isiyo na manufaa kwake (anatumia kuangalia movie).

Ushauri wangu:
Kama huna kazi na mtaji na upo kwenye hayo makund ya kumiliki vitu hvyo uza alaf fanya yafuatayo.

1. Ukiuza ukapata ata 400k unaweza ukazama ndichi ukaenda kukod shamba kwa ata 30k kwa heka ukalima maharage au zao lolote lisilo ns gharama na ukwekeza nguvu zako kuminimize cost unaweza ukatumia 300k n ukanunua ata Tecno ya kuwasalimia wadau online ukiwa ndichi.

Najua wengne mtajiuliza mashamba ya bei hyo unapata wap but hyo bei ukienda mkoa wa ruvuma kuanzia namtumbo, songea, mbinga, madaba, peramiho kote huko unapata mpka kwa 20k.

Pia ata songwe unapata kwa 40 to 50k, sumbawanga ni 25-50k, chunya ni 30-50k, njombe (mavanga) kunakubaki sana maharage kule ni 40k.

2. Kuna jamaa aliuza simu yake kwa 250k baada ya kitaa kumweka sawa akaenda kununua hle mashine ya fingerprint Famoco na kutoa aibu nabkuingia kitaa kusajili line mpaka sasa anapata commision around 200-350k per month na alitumia miezi mitatu tu akanunua tena simu na life go on.

3. Unaweza ata ukaenda masokon ukanunua mitumba viatu au nguo na kuanza kuuza kwa kuwa una elimu utaweza ata kutumia platform za social media kutafuta customers. (but degree uiweke pembeni).

4.Ukasubiri msimu wa mavuno ukaenda vijijin haswaaa ukanunua mazao kwa bei ya kulangua ukifika tiwn kidogo ukala cha juu huku ukiwa unakuza mtaji wako ikifika kubwa unafkisha town kabisa au unaprocess mwenyewe.

5. Ukiona zotehazikufai unasubiri Uncle atangaze ajira karibu forex utrade ukiwa n stress uchome account alaf uanze tena kutia huruma mtaani.

NB: Achana na motivational speakers wanakugeuza wewe fursa. Kilimo sio lazima uwe na miliioni ndo uanze kuna maeneo unapewa mashamba alaf unalipa gunia either 1 au 2 ukivuna so hapo inakuwa ni nguvu yako tu.

# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business.

Wadau wengine wataongezea lengo letu sote ni kufanikiwa tukumbuke tupo uchum wakati.
Mind ya mtu ikishafunguka utaona yeye mwenyewe akiwa na mabadiliko.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom