Namshauri Dr.Slaa kufuatilia kwa makini matokeo ya uchaguzi kupitia kwa mawakala wake na kulinganisha na matokeo ya tume na baadaye ayatolee ufafanuzi.Pia namshauri aendelee kukaa kimya na kukusanya vielelezo.Hongera sana Dr. kwa kazi nzuri tunayoona mavuno yake.