Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,446
- 16,299
Habarini za muda huu wana jf.
Imefika wakati sasa wa nyumba ya WCB kupata miji mingine, watoto wameshakua vya kutosha haifai waendelee kuishi na baba yao wakati wote wananyoa ndevu. Diamond nakushauri tuu wape wanao miji na wao waweze kuendeleza kizazi ulichoanzisha wewe. Au hutaki kupata wajukuu? Jitahidi sana wape hao wanao miji ili uweze kupata wajukuu, ikiwezekana hata vitukuu kabisa.
Sote tunafahamu kwamba nyumba siku zote inacompose baba, mama na watoto. Baada ya muda hawa watoto wakishakomaa basi na wao huwa wanaanzisha familia zao (miji). Lakini haimaanishi kwamba hawa watoto ndo wamejitenga na baba na mama zao bali ni nature tuu iliyopo.
Siku zote unapokuwa kiongozi wa label ya muziki itafika mida kuna watakaofika level zako ww kama kiongozi, na endapo utajifanya kuwang'ang'ania basi jua umeshika bomu ambalo linaweza kukulipukia muda wowote.
Usifanye makosa waliyofanya viongozi wako kina Babu Tale na Mkubwa Fela kipindi wako na makundi ya Tiptop Connection na TMK Wanaume Family respectively.
Hawa majamaa waliwalea wasanii wao vzr san kimuziki enzi hizo na kuwapeleka kileleni, lakini kosa walilofanyaga ni kutotaka kuwe na muendelezo wa vizazi. Walitaka wao ndo wawe kizazi cha mwisho wakati wasanii wao walishapevuka na kufika level za kuwa na miji yao.
Kwa hiyo usirudie kosa, wape uhuru vijana wako waliokomaa hasa Harmonize wakajitengenezee miji yao. Haimaniishi uwavunjie mikataba, la hasha. Endelea kuwa close nao. Wewe ni babu wa watoto wao i.e wajukuu zako. Hivyo hao wajukuu pia watakuwa faraja kwako pindi watakapokuwa wanakuja kukutembelea hapa na pale.
Ni hayo tuu kwa sasa.
Imefika wakati sasa wa nyumba ya WCB kupata miji mingine, watoto wameshakua vya kutosha haifai waendelee kuishi na baba yao wakati wote wananyoa ndevu. Diamond nakushauri tuu wape wanao miji na wao waweze kuendeleza kizazi ulichoanzisha wewe. Au hutaki kupata wajukuu? Jitahidi sana wape hao wanao miji ili uweze kupata wajukuu, ikiwezekana hata vitukuu kabisa.
Sote tunafahamu kwamba nyumba siku zote inacompose baba, mama na watoto. Baada ya muda hawa watoto wakishakomaa basi na wao huwa wanaanzisha familia zao (miji). Lakini haimaanishi kwamba hawa watoto ndo wamejitenga na baba na mama zao bali ni nature tuu iliyopo.
Siku zote unapokuwa kiongozi wa label ya muziki itafika mida kuna watakaofika level zako ww kama kiongozi, na endapo utajifanya kuwang'ang'ania basi jua umeshika bomu ambalo linaweza kukulipukia muda wowote.
Usifanye makosa waliyofanya viongozi wako kina Babu Tale na Mkubwa Fela kipindi wako na makundi ya Tiptop Connection na TMK Wanaume Family respectively.
Hawa majamaa waliwalea wasanii wao vzr san kimuziki enzi hizo na kuwapeleka kileleni, lakini kosa walilofanyaga ni kutotaka kuwe na muendelezo wa vizazi. Walitaka wao ndo wawe kizazi cha mwisho wakati wasanii wao walishapevuka na kufika level za kuwa na miji yao.
Kwa hiyo usirudie kosa, wape uhuru vijana wako waliokomaa hasa Harmonize wakajitengenezee miji yao. Haimaniishi uwavunjie mikataba, la hasha. Endelea kuwa close nao. Wewe ni babu wa watoto wao i.e wajukuu zako. Hivyo hao wajukuu pia watakuwa faraja kwako pindi watakapokuwa wanakuja kukutembelea hapa na pale.
Ni hayo tuu kwa sasa.