Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Nawashauri CHADEMA kuhakikisha hawaibiwi kura huko Busanda kwani wizi wa kura ndio njia pekee iliyobaki kwa CCM sasa kupora ushindi Busanda. Hivyo CHADEMA please msifanye uzembe kabisa katika kulinda upigaji na kuhesabiwa kwa kura. Kumbukeni ushindi wa Busanda utapelekea ushindi Biharamulo. Chondechomde msibweteke.
Last time Mbeya vijijini mliboa kwa uzembe wa kipuuzi.
Wana JF wapenda mabadiliko tuwashauri hawa washinde Busanda. Mawazo yenu please.
Last time Mbeya vijijini mliboa kwa uzembe wa kipuuzi.
Wana JF wapenda mabadiliko tuwashauri hawa washinde Busanda. Mawazo yenu please.