Ushauri kwa CHADEMA: Remija awe successor wa marehemu Regia

Tume ya Uchaguzi inayo orodha iliyopendekezwa na CHADEMA tangu 2010. Dr Slaa atuambie kama anao uwezo wa kuibadili sasa.
 
Tume ya Uchaguzi inayo orodha iliyopendekezwa na CHADEMA tangu 2010. Dr Slaa atuambie kama anao uwezo wa kuibadili sasa.

Wildard,
asante kwa swali.
1. Majina yalipelekwa kwa Mujibu wa Sheria ya Uchaguzi mwezi mmoja kabla ya uchaguzi, yaani 30.09. 2010. Kwa mujibu wa sheria inapotokea nafasi wazi Tume ikiisha kujulishwa na Spika, inatangaza jina la mtu anayefuata kwenye listi hiyo.
2. Kama mtakumbuka Chadema iliwasilisha majina hayo baada ya kuaandaliwa na Kamati ndogo ya Kamati Kuu kwa misingi ya vigezo maalum vilivyoidhinishwa na Kamati Kuu.
3. Tume inaweza kumwandikia Katibu Mkuu kumjulisha kuwa kwenye Listi yao anayefuata ni fulani na kutaka Katibu Mkuu athibitishe kama mhusika huyo bado anayosifa ya kuwa mbunge au la, mathalan kama bado ni mfuasi wa chama au amehama chama, au chama kwa sababu zingine kimemvua uanachama. Baada ya ya kupata uthibitisho huo huo Tume itaeendelea na Taratibu za kumtangaza mrithi wa kiti husika.. Iwapo anayefuata kwenye listi atakuwa amepoteza sifa, jina lake litafutwa kwenye listi listi na Tume na atatangazwa anayefuata. Huu ndio utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalum katika kipindi chote hadi uchaguzi ujao.
 
Kwa kweli Elimu ya Uraia inahitajika sana ili wananchi wengi hasa vijana waweze kujitambua, kutambua wajibu wao kwa Taifa na hivyo waweze kuwa chachu ya mabadiliko ya kweli ya kisiasa na kiuchumi.

Dr SLaa, CHADEMA hawawezi kutoa Elimu hiyo kwa kuanza na wanachama wake kwenye matawi yao au ndiyo utatafsiriwa kuwa uchochezi? Hebu tumieni fursa hii kabla ya Uchaguzi mkuu ujao na kabla ya mchakato wa uandikaji Katiba mpya kutoa Elimu hiyo. Ninaamini Msajili wa Vyama vya Siasa atakubaliana na jambo hili jema. Kila la Heri!
 
Wildard,
asante kwa swali.
1. Majina yalipelekwa kwa Mujibu wa Sheria ya Uchaguzi mwezi mmoja kabla ya uchaguzi, yaani 30.09. 2010. Kwa mujibu wa sheria inapotokea nafasi wazi Tume ikiisha kujulishwa na Spika, inatangaza jina la mtu anayefuata kwenye listi hiyo.
2. Kama mtakumbuka Chadema iliwasilisha majina hayo baada ya kuaandaliwa na Kamati ndogo ya Kamati Kuu kwa misingi ya vigezo maalum vilivyoidhinishwa na Kamati Kuu.
3. Tume inaweza kumwandikia Katibu Mkuu kumjulisha kuwa kwenye Listi yao anayefuata ni fulani na kutaka Katibu Mkuu athibitishe kama mhusika huyo bado anayosifa ya kuwa mbunge au la, mathalan kama bado ni mfuasi wa chama au amehama chama, au chama kwa sababu zingine kimemvua uanachama. Baada ya ya kupata uthibitisho huo huo Tume itaeendelea na Taratibu za kumtangaza mrithi wa kiti husika.. Iwapo anayefuata kwenye listi atakuwa amepoteza sifa, jina lake litafutwa kwenye listi listi na Tume na atatangazwa anayefuata. Huu ndio utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalum katika kipindi chote hadi uchaguzi ujao.
Majimboni nako kungekuwa na utaratibu kama huu au unaofanana na huu kungeokolewa pesa nyingi za walipakodi wa NCHI hii. Kwa mfano kule Arumeru Mashariki sasa ambako Mbunge wao amefariki, Tume ingemtangaza yule aliyemfuatia kwa kura nyingi kama anazo sifa bado. Akina Kafulila na Hamad waliovuliwa UANACHAMA nao nafasi zao zingechukuliwa na wagombea waliofuata kwa kura nyingi. Pengine hata kutimuana kungepungua sana.
 
Kwa vile pacha wa marehemu alikuwa akimsaidia marehemu katika kazi nyingi za kibunge na kisiasa,na tumeona marehemu alikuwa na mvuto mkubwa kwenye maisha ya kijamii na kisiasa- pacha wa marehemu ambaye amefanyakazi kama mfuasi wa marehemu arithi mikoba

I dont buy this c-r-a-p!
Wananchi walimpenda Regia si Remija, hata kama hawa ni pacha. Think big. Kama Remija anataka kuingia katika siasa basi aache kazi ya kiserikali aliyonayo aanze siasa from scratch kama alivyofanya pacha wake
 
Back
Top Bottom