Uchaguzi 2020 Ushauri kwa CHADEMA, kuna vitu tuachane navyo. Tujikite na kuwatumikia Wananchi, Uongo hauwezi kutusaidia

Shida ya CHADEMA ina viongozi, wagombea udiwani, ubunge na urais TOO MYOPIC! wao wanadhani NYOMI iliyopo uwanjani ndo ushindi!

Hawajiulizi kuwa katika wapiga kura 29 milioni ni wangapi au asilimia ngapi ina muda wa kuhudhuria public rallies?

Ngoja tarehe 28/10/2020 wapigwe kipigo cha mbwa mwizi kuanzi Mbowe hadi Tundu Lissu.
 
Tulieni Lumumba. ..sindano ishaingia tayari sasa ni muda wa kusukuma dawa!!
 
Shida ya CHADEMA ina viongozi, wagombea udiwani, ubunge na urais TOO MYOPIC! wao wanadhani NYOMI iliyopo uwanjani ndo ushindi!
Hawajiulizi kuwa katika wapiga kura 29 milioni ni wangapi au asilimia ngapi ina muda wa kuhudhuria public rallies?!
Ngoja tarehe 28/10/2020 wapigwe kipigo cha mbwa mwizi kuanzi Mbowe hadi Tundu Lissu.
Mbona Lissu amelizungumzia hili kwenye mikutano yake na waandishi wa habari. Kama unalingine sema lakini siyo hili.
 
Shida ya CHADEMA ina viongozi, wagombea udiwani, ubunge na urais TOO MYOPIC! wao wanadhani NYOMI iliyopo uwanjani ndo ushindi!
Hawajiulizi kuwa katika wapiga kura 29 milioni ni wangapi au asilimia ngapi ina muda wa kuhudhuria public rallies?!
Ngoja tarehe 28/10/2020 wapigwe kipigo cha mbwa mwizi kuanzi Mbowe hadi Tundu Lissu.
Kama nyomi sio muhimu mbona CCM mnahangaika kuleta wasanii,kuwabeba wananchi kwny malori,kulazimisha wafanyakazi wa serikali kuhudhuria mikutano yenu,kuzifunga shule wanafunzi wahudhurie mikutano yenu.
 
CHADEMA haina Sera mbadala za maendeleo ila kuwaghiribu wapiga kuwa ati "sasa ni saa ya ukombozi".

Sera mbadala ya maendeleo ya watu ielezwe vizuri kwa kutumia mifano ya maendeleo ya vitu yaliyofanywa na Serikali ya CCM kama hayakisi maendeleo ya watu kwa maana ya ustawi wao. Isiwe tu kuyabeza ila pia Lissu aeleza akipewa ridhaa atawafikisha wapi Watanzania kimaendeleo, na kwa jinsi gani. Hili la kuweka rehani maliasili ya nchi ni usaliti na uhaini.

CHADEMA haina mwandaaji wa kampeni kama Polepole

CHADEMA haina viongozi mfano wa Mama Samia au Majaliwa, ambao wanakubalika katika jamii kwa kila jambo na matendo yao.

Kinachoendelea Uwanja wa Mkapa Dsm muda huu ni ushahidi kuwa CCM haina chama mshindani. Kupuuza nguvu ya wasanii ni upumbavu na ulofa uliokubuhu
Comment bora ya Uzi ndio hii
 
Hujiamini ndio kosa kubwa unalolifanya. Kuigiza wewe ni CHADEMA wakati wewe no CCM ni mapungufu ya kiakili.
 
bila wasanii,
1602240272011.png
 
Kusini Rais wao ni Lissu. Meko anakataliwa kila kona.
 
Binafsi nimeshuhudia madarasa yakifungwa ili watoto na walimu wao waende kwa Magufuli
 
Washauri CCM wenzio waache kuwahadaa watu kwa kupiga magoti na kuongea viingereza vibovu kujustfy Phd zao sio fake
Na bado sana, utaumia,
Cha kushangaza utakuta pamoja na dharau lakini wewe mwenyewe unalala na watoto kwenu.
 
Kama nyomi sio muhimu mbona CCM mnahangaika kuleta wasanii,kuwabena wananchi kwny malori,kulazimisha wafanyakazi wa serikali kuhudhuria mikutano yenu,kuzifunga shule wanafunzi wahudhurie mikutano yenu.
Mfano shule gani ilifungwa ili kuhudhuria mkutano wa ccm?
 
Back
Top Bottom