Ingekuwa inatenda haki mahabusu wasingejaaChadema wameshikwa pabaya sana mwakauu, nakumbuka Sabaya alipokamatwa tu walikunywa bia na kuchoma ile nyama yetu kwa fujo, leo kibano kimekuja kwao kinakuwa cha uchungu.
Kwani chadema hawana imani na mahakama kuwa itatenda haki kwa Mbowe, tulieni mahakama ifanye kazi yake.
Kuanzia majuzi nasika ohoo eti serikali itapata aibu hivyo wafute hii kesi, kweli!! Yaani leo Bavicha wanaofia serikali ya CCM kupata aibu basi ni ajabu