Ushauri Kwa BAVICHA na CHADEMA; Someni Historia ya Nchi hii, mnajidhalilisha kwa wenye akili

Umeandika vyema, ila hapo kwenye habari za Yesu umeharibu, Yesu ni kweli aliishi miaka hiyo, lakini Yesu halisi ni tofauti na aliyesimuliwa kwenye biblia (Stories nyingi za kwenye biblia ni za kutunga na zimejaa chai za kiwango cha SGR).
Usiandike baada ya kuwa umeshalewa gongo, kama unasema maandiko ya Biblia ni ya kutunga tuambie basi hayo yaliyo sahihi.
 
Kweli kabisa mtu aliiona ya vyombo vya habari nyakati hizo waliandika kila kitu. Mbona Nyerere alikuwa haogopi vyombo vya habari mpaka kuviachia vifanye kazi kwa huru namna ile!!!
Ni kwa sababu ile kesi ni kweli ilikuwepo na kuna watuhumiwa hata walikiri mbele ya walinzi wa amani (Justice of the Peace) ambao siku hizi hata siwasikii.

Pia nakumbuka kwenye ile kesi kuna watuhumiwa mahakama iliwaachilia huru kwa kukosa ushahidi, kama akina Banyikwa na wengine nimewasahau.

Kwa kweli pamoja na kwamba ulikuwa ni utawala wa chama kimoja (One Party Dictatorship) lakini lazima tukubali kwamba haki ilikuwa ikizingatiwa sana na majaji wa wakati huo walikuwa na weledi wa hali ya juu sana tofauti kabisa na hawa wa leo.

Najaribu kupiga picha tu leo hii watuhumiwa ktk kesi ya uhaini kweli wataachwa wapelekwe mahakamani wakiwa hai, sidhani. Nafikiri hata maiti zao hatutaziona.
 
Umeshindwa kuelewa kuhusu SHERIA na UHUNI. Tanzania hakuna sheria inaruhusu mtuhumiwa kuteswa, kunyanyaswa au kufanyiwa vitendo VIOVU katika kupata ushahidi (confession).

Ndiyo maana kuna sheria zimewekwa kuhusu haya mambo, ukiona zimekiukwa unayo HAKI ya kushughurikia kwa mujibu wa sheria,ndicho wanafanya washtakiwa (Mbowe na wenzake).

Wewe umeandika kuhalalisha UHUNI ambao wakina Kingai & Co unaona wanaukwepa pale Mahakamani kwa ushahidi (wa kutunga) kwamba hawakuwatesa wala kuwanyanyasa kwa wakati wote.

Ifike muda tuwe na utaratibu wa kuhimiza utawala wa sheria, kuna watu wamepata vilema na wengine kupoteza maisha kabisa kutokana na mateso ya Jeshi la polisi.

Leo unatoa KEJELI kwa sababu tu hili linamuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, kuna watanzania wengi wasio na hatia wamepitia mateso kwenye mikono ya Jeshi la polisi hata kuwa vilema na kupoteza maisha kabisa.

Yesu alidhihakiwa, alinyanyaswa, aliteswa na hadi kufa siyo kwamba alikuwa na hatia ya kweli bali Mungu alitaka kutimiza mapenzi yake kwetu.

Ubarikiwe.
Magaidi hawana Sheria wanateswa tu kwa Kila njia hata waliopo Guantanamo bay wanajuta kufanya ugaidi,sembuse mchaga moja na wahuni wake
 
Habarini Bavicha na Chadema kwa Ujumla

Leo napenda kuwashauri jambo la kuwasaidia kutokana na trend yenu ya kuanzisha vi thread humu kuongelea kesi ya Mbowe na kuleta nadharia zenu kuhusu watu waliokuwa Wanajeshi ambao wamedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama

Napenda kuwashauri hivi;

Embu jitahidini kusoma na kujua angalau kidogo historia ya nchi hii na nadhani itawasaidia kidogo

Wanajeshi wa kesi ya Mbowe si watu wa kwanza nchini kudhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama vya Tanzania baada ya kufanya Jinai.

Mwaka 1981, Wanajeshi kadhaa akiwemo Komando Tamimu, Kapteni Kadego,Kapteni Maganga, Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maghee na wenzako walifanya mpango wa kutaka kuiangusha Serikali ya Awamu ya kwanza.

Kwenye mipango iyo Walishirikiana na Wanajeshi wenzao akiwemo Luteni Ndejembi( Ambaye alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma- Ni baba Mzazi wa Naibu Waziri Ndejembi, Mbunge wa Chamwino)

Wakati wanapanga mipango yao Ndejembi na wenzake waliwaripoti kwa Mkuu wa Usalama Jeshini . Enzi izo alikuwa Luteni Kanali Davis Mwamunyange ( Ambaye Kwa sasa ni CDF Mstaafu )

Baada ya mipango iyo kusanuliwa Vikosi vya ulinzi na Usalama ( JWTZ, TISS na Polisi) walifanya operesheni maalumu iliyowezesha wanajeshi hao wote kukamatwa na kuuwawa kwa Komando Tamimu ambaye aliuliwa akijaribu kutoroka. Wanajeshi hawa ukisoma kesi hii walipitia msoto wa uhakika ikiwemo torture ili kupata kiundani mipango yao

Kesi ilienda Mahakamani na watuhumiwa wote walihukumiwa vifungo gerezani! Kesi iyo iliendeshwa na Wakili wa Serikali matata aliyejulikana kama Sekule ambaye alikuwa DPP na baadae akaja kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kwa maelezo haya napenda leo kuwahusia Bavicha na Chadema, acheni kuanzisha vi thread vyenu uchwara ambayo vinaonesha hamjui historia ya hii nchi. Kama mnadhani mnaleta uchonganishi basi jueni mnakosea sana. Vyombo vya dola vya Tanzania vinafanya kazi kwa utaratibu maalum na ndo mana nchi iko salama miaka yote hii tangu Uhuru

Poleni sana Bavicha na Chadema!

Mbowe haponi!


Unanikumbusha kuna wakati washabiki wa Hayati walisema Lissu haponi kumbe Mungu ana mipango yake. Kuweni makini sana kwenye kupangia watu maisha yako na hatima yao huwezi kujua Mungu kapanga nini. Msije kushangaa Mbowe ndiyo anapona
 
Habarini Bavicha na Chadema kwa Ujumla

Leo napenda kuwashauri jambo la kuwasaidia kutokana na trend yenu ya kuanzisha vi thread humu kuongelea kesi ya Mbowe na kuleta nadharia zenu kuhusu watu waliokuwa Wanajeshi ambao wamedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama

Napenda kuwashauri hivi;

Embu jitahidini kusoma na kujua angalau kidogo historia ya nchi hii na nadhani itawasaidia kidogo

Wanajeshi wa kesi ya Mbowe si watu wa kwanza nchini kudhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama vya Tanzania baada ya kufanya Jinai.

Mwaka 1981, Wanajeshi kadhaa akiwemo Komando Tamimu, Kapteni Kadego,Kapteni Maganga, Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maghee na wenzako walifanya mpango wa kutaka kuiangusha Serikali ya Awamu ya kwanza.

Kwenye mipango iyo Walishirikiana na Wanajeshi wenzao akiwemo Luteni Ndejembi( Ambaye alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma- Ni baba Mzazi wa Naibu Waziri Ndejembi, Mbunge wa Chamwino)

Wakati wanapanga mipango yao Ndejembi na wenzake waliwaripoti kwa Mkuu wa Usalama Jeshini . Enzi izo alikuwa Luteni Kanali Davis Mwamunyange ( Ambaye Kwa sasa ni CDF Mstaafu )

Baada ya mipango iyo kusanuliwa Vikosi vya ulinzi na Usalama ( JWTZ, TISS na Polisi) walifanya operesheni maalumu iliyowezesha wanajeshi hao wote kukamatwa na kuuwawa kwa Komando Tamimu ambaye aliuliwa akijaribu kutoroka. Wanajeshi hawa ukisoma kesi hii walipitia msoto wa uhakika ikiwemo torture ili kupata kiundani mipango yao

Kesi ilienda Mahakamani na watuhumiwa wote walihukumiwa vifungo gerezani! Kesi iyo iliendeshwa na Wakili wa Serikali matata aliyejulikana kama Sekule ambaye alikuwa DPP na baadae akaja kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kwa maelezo haya napenda leo kuwahusia Bavicha na Chadema, acheni kuanzisha vi thread vyenu uchwara ambayo vinaonesha hamjui historia ya hii nchi. Kama mnadhani mnaleta uchonganishi basi jueni mnakosea sana. Vyombo vya dola vya Tanzania vinafanya kazi kwa utaratibu maalum na ndo mana nchi iko salama miaka yote hii tangu Uhuru

Poleni sana Bavicha na Chadema!

Mbowe haponi!

Kuna ushauri wowote umewapa CCM, serikali au wanao washikilia kinyume cha katiba: Moses Lijenje, Luteni Urio, Ben Sanane au Azory?

Kama bado hujachelewa ungeanza na huu:

IMG_20210930_170832_807.jpg


ingependeza tu.

Hiiiiii bagosha!
 
Unanikumbusha kuna wakati washabiki wa Hayati walisema Lissu haponi kumbe Mungu ana mipango yake. Kuweni makini sana kwenye kupangia watu maisha yako na hatima yao huwezi kujua Mungu kapanga nini. Msije kushangaa Mbowe ndiyo anapona

Aliyekuwa usiache kutupa mrejesho
 
Na zaidi JWTZ haihitaji kutetewa na BAVICHA wao wa-deal na Mwenyekiti wao.
 
Ndiyo , Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai inaruhusu ushahidi uliopatikana kwa njia ya utesaji hasa huo ushahidi unaposababisha kupatikana au kugundulika kwa kitu au jambo fulani

..ungetusaidia hicho kifungu ili kuthibitisha madai yako.

..naamini mahakama italazimika kuchukua ushahidi uliopatikana bila utesaji kuthibitisha tuhuma zinazomkablli Mbowe na wenzake.
 
Na zaidi JWTZ haihitaji kutetewa na BAVICHA wao wa-deal na Mwenyekiti wao.

Hata huyu haihitaji kuuliziwa?

IMG_20210930_170832_807.jpg


Ndivyo yeye na familia yake walivyosema au walivyokutuma kuwasemea?

Ufafanuzi wako bwana wewe usiyejulikana tafadhali.
 
UPUUZI MTUPU!!!

Habarini Bavicha na Chadema kwa Ujumla

Leo napenda kuwashauri jambo la kuwasaidia kutokana na trend yenu ya kuanzisha vi thread humu kuongelea kesi ya Mbowe na kuleta nadharia zenu kuhusu watu waliokuwa Wanajeshi ambao wamedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama

Napenda kuwashauri hivi;

Embu jitahidini kusoma na kujua angalau kidogo historia ya nchi hii na nadhani itawasaidia kidogo

Wanajeshi wa kesi ya Mbowe si watu wa kwanza nchini kudhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama vya Tanzania baada ya kufanya Jinai.

Mwaka 1981, Wanajeshi kadhaa akiwemo Komando Tamimu, Kapteni Kadego,Kapteni Maganga, Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maghee na wenzako walifanya mpango wa kutaka kuiangusha Serikali ya Awamu ya kwanza.

Kwenye mipango iyo Walishirikiana na Wanajeshi wenzao akiwemo Luteni Ndejembi( Ambaye alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma- Ni baba Mzazi wa Naibu Waziri Ndejembi, Mbunge wa Chamwino)

Wakati wanapanga mipango yao Ndejembi na wenzake waliwaripoti kwa Mkuu wa Usalama Jeshini . Enzi izo alikuwa Luteni Kanali Davis Mwamunyange ( Ambaye Kwa sasa ni CDF Mstaafu )

Baada ya mipango iyo kusanuliwa Vikosi vya ulinzi na Usalama ( JWTZ, TISS na Polisi) walifanya operesheni maalumu iliyowezesha wanajeshi hao wote kukamatwa na kuuwawa kwa Komando Tamimu ambaye aliuliwa akijaribu kutoroka. Wanajeshi hawa ukisoma kesi hii walipitia msoto wa uhakika ikiwemo torture ili kupata kiundani mipango yao

Kesi ilienda Mahakamani na watuhumiwa wote walihukumiwa vifungo gerezani! Kesi iyo iliendeshwa na Wakili wa Serikali matata aliyejulikana kama Sekule ambaye alikuwa DPP na baadae akaja kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kwa maelezo haya napenda leo kuwahusia Bavicha na Chadema, acheni kuanzisha vi thread vyenu uchwara ambayo vinaonesha hamjui historia ya hii nchi. Kama mnadhani mnaleta uchonganishi basi jueni mnakosea sana. Vyombo vya dola vya Tanzania vinafanya kazi kwa utaratibu maalum na ndo mana nchi iko salama miaka yote hii tangu Uhuru

Poleni sana Bavicha na Chadema!

Mbowe haponi!
 
Ni kwa sababu ile kesi ni kweli ilikuwepo na kuna watuhumiwa hata walikiri mbele ya walinzi wa amani (Justice of the Peace) ambao siku hizi hata siwasikii.

Pia nakumbuka kwenye ile kesi kuna watuhumiwa mahakama iliwaachilia huru kwa kukosa ushahidi, kama akina Banyikwa na wengine nimewasahau.

Kwa kweli pamoja na kwamba ulikuwa ni utawala wa chama kimoja (One Party Dictatorship) lakini lazima tukubali kwamba haki ilikuwa ikizingatiwa sana na majaji wa wakati huo walikuwa na weledi wa hali ya juu sana tofauti kabisa na hawa wa leo.

Najaribu kupiga picha tu leo hii watuhumiwa ktk kesi ya uhaini kweli wataachwa wapelekwe mahakamani wakiwa hai, sidhani. Nafikiri hata maiti zao hatutaziona.

Tulipo leo kuna Tiss wamepenyezwa nao ni majaji.

Leo tuna watu wasiojulikana.

Ben, Azory, Lijenje na waliopotea wanaweza kuwa wanashikiliwa hai mahali.

Hali ya haki leo ni mbaya zaidi:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Wacha waendelee kujishasha, ila tunamtaka Lijenje akiwa hai.
 
Chadema wameshikwa pabaya sana mwakauu, nakumbuka Sabaya alipokamatwa tu walikunywa bia na kuchoma ile nyama yetu kwa fujo, leo kibano kimekuja kwao kinakuwa cha uchungu.
Kwani chadema hawana imani na mahakama kuwa itatenda haki kwa Mbowe, tulieni mahakama ifanye kazi yake.
Kuanzia majuzi nasika ohoo eti serikali itapata aibu hivyo wafute hii kesi, kweli!! Yaani leo Bavicha wanaofia serikali ya CCM kupata aibu basi ni ajabu
 
Kikubwa ujumbe umefika
Ujumbe gani sasa uliotoa hapo au unahisi nani halifahamu hilo swala la kina Hanspope?? Na je Hio inshu ya kina Hanspope na ya Mbowe vina relation mkuu?? Au na wewe ulisimuliwa halaf umekuja na ki-thread ukoko chako hapa.
 
Habarini Bavicha na Chadema kwa Ujumla

Leo napenda kuwashauri jambo la kuwasaidia kutokana na trend yenu ya kuanzisha vi thread humu kuongelea kesi ya Mbowe na kuleta nadharia zenu kuhusu watu waliokuwa Wanajeshi ambao wamedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama

Napenda kuwashauri hivi;

Embu jitahidini kusoma na kujua angalau kidogo historia ya nchi hii na nadhani itawasaidia kidogo

Wanajeshi wa kesi ya Mbowe si watu wa kwanza nchini kudhibitiwa na vyombo vya ulinzi na Usalama vya Tanzania baada ya kufanya Jinai.

Mwaka 1981, Wanajeshi kadhaa akiwemo Komando Tamimu, Kapteni Kadego,Kapteni Maganga, Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maghee na wenzako walifanya mpango wa kutaka kuiangusha Serikali ya Awamu ya kwanza.

Kwenye mipango iyo Walishirikiana na Wanajeshi wenzao akiwemo Luteni Ndejembi( Ambaye alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma- Ni baba Mzazi wa Naibu Waziri Ndejembi, Mbunge wa Chamwino)

Wakati wanapanga mipango yao Ndejembi na wenzake waliwaripoti kwa Mkuu wa Usalama Jeshini . Enzi izo alikuwa Luteni Kanali Davis Mwamunyange ( Ambaye Kwa sasa ni CDF Mstaafu )

Baada ya mipango iyo kusanuliwa Vikosi vya ulinzi na Usalama ( JWTZ, TISS na Polisi) walifanya operesheni maalumu iliyowezesha wanajeshi hao wote kukamatwa na kuuwawa kwa Komando Tamimu ambaye aliuliwa akijaribu kutoroka. Wanajeshi hawa ukisoma kesi hii walipitia msoto wa uhakika ikiwemo torture ili kupata kiundani mipango yao

Kesi ilienda Mahakamani na watuhumiwa wote walihukumiwa vifungo gerezani! Kesi iyo iliendeshwa na Wakili wa Serikali matata aliyejulikana kama Sekule ambaye alikuwa DPP na baadae akaja kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Kwa maelezo haya napenda leo kuwahusia Bavicha na Chadema, acheni kuanzisha vi thread vyenu uchwara ambayo vinaonesha hamjui historia ya hii nchi. Kama mnadhani mnaleta uchonganishi basi jueni mnakosea sana. Vyombo vya dola vya Tanzania vinafanya kazi kwa utaratibu maalum na ndo mana nchi iko salama miaka yote hii tangu Uhuru

Poleni sana Bavicha na Chadema!

Mbowe haponi!
Kama mliweza wabambika kesi mashehe wa uhamsho na wazee wa escrow wakasota ndani miaka bila lepe la aibu mkawaachia baada ya kuona awatoi pesa mtashindwa vipi kumpanga mahita na kingai
 
Back
Top Bottom