Usiandike baada ya kuwa umeshalewa gongo, kama unasema maandiko ya Biblia ni ya kutunga tuambie basi hayo yaliyo sahihi.Umeandika vyema, ila hapo kwenye habari za Yesu umeharibu, Yesu ni kweli aliishi miaka hiyo, lakini Yesu halisi ni tofauti na aliyesimuliwa kwenye biblia (Stories nyingi za kwenye biblia ni za kutunga na zimejaa chai za kiwango cha SGR).