Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,073
Mkuu kambona alishiriki kwenye nini kuwatuliza waasi,maana hakua kwenye chombo chochote cha usalamaStori haijakamilika- Shingo upande Mwalimu aliomba msaada kwa Malkia Elizabeti kuzima ausi.Bila hiyana malkia alingiza timu ya who dare win, ikafyeka waasi. CCm lazima muheshimu "mabeberu" bila msaada wa malkia sidhani ccm ingezaliwa 77.