sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Naona mwamko umekuwa mdogo kwa watu kwenda kufunga line za ziada katika ofisi za mitandao, sio kwamba hatuwezi kwenda ila mambo yametinga jamani maana awamu hii ni kazi kazi kitu kinachonyima wengi muda wa kwenda hizo ofisi.
Ningependa kuwasilisha maoni yangu kwamba tunavyopiga *106# kuwe na option ya kufunga laini za ziada ili kuwekeana uwepesi katika zoezi hili la kumiliki laini moja kwa kila mtandao.
Ni kitu ambacho kinawezekana kabisa hivyo kianze kutekelezwa ili kuwe na wepesi na kuondoa kero za kwenda huko maofisini
Nawasilisha
Ningependa kuwasilisha maoni yangu kwamba tunavyopiga *106# kuwe na option ya kufunga laini za ziada ili kuwekeana uwepesi katika zoezi hili la kumiliki laini moja kwa kila mtandao.
Ni kitu ambacho kinawezekana kabisa hivyo kianze kutekelezwa ili kuwe na wepesi na kuondoa kero za kwenda huko maofisini
Nawasilisha