chikakamichael
Member
- Nov 30, 2019
- 19
- 9
Nenda kwa specialists wa wanawake ..kwa uchunguzi mapema zaidi ukichelewa utakua na poor prognosis ya kupona
ChlamydiaKama ndiyo, utakuwa ugonjwa gani ambao mimi binafsi sina dalili zake?
Kuna kitu kakuficha! Huwa anatiwa kwenye ndoto!
Ndiyo ukweli huo kaka!Dash, majibu haya yanakatisha tamaa kabisa
Hahahah! Na wewe limeisha kupiga mande..Yanatesa haya madudu, Mungu atusaidie
Hahahah! Na wewe limeisha kupiga mande..