ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Juzi kwa mara ingine tumepoteza roho za ndugu zetu zaidi ya ishirini hapo Morogoro kwa ajali mbaya iliyohusisha basi la abiria na Lori.
Ukiangalia kwa kina hapa unakuta pamoja na mambo mengine mengi,ufinyu wa barabara nalo ni tatizo...serikali itupie macho eneo hili.
Tufikirie tu barabara yenye kilometa zaidi ya alfu moja.. inayotumiwa na magari zaidi ya alfu moja kwa siku..lets say kutoka Mwanza to Dar....Tunduma to Dar....Namanga to Dar..nk
Bara bara hii gari zipishane kwa kupeana gape la mita mbili tu tena zote zikiwa high speed ni hatari tosha!
Pongezi kwa serkali kwa kutanua barabara kutokea kimara mwisho hadi Kibaha maili moja..hapa si tu wameondoa folenizisizo lazima lakini pia wameondoa kabisa ajali hasa zile za uso kwa uso..!
Ushauri sasa kwa Tanroad..kwa kuepuka gharama za ujenzi na upembuzi yakinifu...kuanzia kibaha maili moja sasa paanze kujengwa barabara nyingine iende sambamba na hii iliyopo kuelekea Mlandizi, Chalinze, Morogoro ili sasa gari zinazokwenda bara ziwe na upande wake wa kushoto na za kutoka bara kuja mikoa ya Pwani ziwe na upande wake wa kulia,hili litasaidia sana kupunguza ajali na vifo.
Bajeti ifuatayo zoezi hili liendelee kutoka Morogoro hadi Dodoma na pia Morogoro to mikumi then ilula to Tunduma. Hivyo hivyo baadae nchi nzima kuwe na bara bara hizi yaani mbili kwa nne.nina hakika hii itasaidia na ndio mataifa mengi makubwa duniani baadhi yao ni kama UAE,Japan,Us,Malaysia nk wapo miaka mingi kwenye utaratibu huu.
Nawasilisha
0716399767.
Ukiangalia kwa kina hapa unakuta pamoja na mambo mengine mengi,ufinyu wa barabara nalo ni tatizo...serikali itupie macho eneo hili.
Tufikirie tu barabara yenye kilometa zaidi ya alfu moja.. inayotumiwa na magari zaidi ya alfu moja kwa siku..lets say kutoka Mwanza to Dar....Tunduma to Dar....Namanga to Dar..nk
Bara bara hii gari zipishane kwa kupeana gape la mita mbili tu tena zote zikiwa high speed ni hatari tosha!
Pongezi kwa serkali kwa kutanua barabara kutokea kimara mwisho hadi Kibaha maili moja..hapa si tu wameondoa folenizisizo lazima lakini pia wameondoa kabisa ajali hasa zile za uso kwa uso..!
Ushauri sasa kwa Tanroad..kwa kuepuka gharama za ujenzi na upembuzi yakinifu...kuanzia kibaha maili moja sasa paanze kujengwa barabara nyingine iende sambamba na hii iliyopo kuelekea Mlandizi, Chalinze, Morogoro ili sasa gari zinazokwenda bara ziwe na upande wake wa kushoto na za kutoka bara kuja mikoa ya Pwani ziwe na upande wake wa kulia,hili litasaidia sana kupunguza ajali na vifo.
Bajeti ifuatayo zoezi hili liendelee kutoka Morogoro hadi Dodoma na pia Morogoro to mikumi then ilula to Tunduma. Hivyo hivyo baadae nchi nzima kuwe na bara bara hizi yaani mbili kwa nne.nina hakika hii itasaidia na ndio mataifa mengi makubwa duniani baadhi yao ni kama UAE,Japan,Us,Malaysia nk wapo miaka mingi kwenye utaratibu huu.
Nawasilisha
0716399767.