Uchaguzi 2020 Ushauri kunusuru upinzani ‘kidharura’: CHADEMA msimamisheni Membe, ACT msiweke mgombea bara; Haitawapa ushindi ila itawasaidia kuendelea ku 'savaivu'

Mimi naelewa kwa hakika kabisa TUNDU LISSU is a real threat to CCM and Magufuli in particular....

CCM hawangependa by all means possible mgombea wao Magufuli apambane kwenye jukwaa la kampeni na Tundu Lissu and the reason is very well known....

Kuzuia hili, harakati kama za watu kama huyu mleta mada zilizovikwa mwavuli wa "kwa nia njema, nashauri", zitafanyika sana only to cause confusions in their main opponent camp....
Mfano, ikatokea huko CHADEMA wenyewe wakamkata jina Lissu, halafu mtu akajenga hoja kuwa CHADEMA ni CCM B? mtu huyo atakuwa yuko sahihi, au na yeye atakuwa anajaribu kuleta 'confusion?'

Wakati fulani kuna watu wanatamani vitu, halafu wanadhani wanavyovitamani ndivyo vilivyo lakini kumbe vilivyo katika uhalisia wake ni tofauti kabisa. Pamoja na kutamani, ni muhumu kuangalia vitu katika jicho pana zaidi.
 
Hebu acha kuandika UPUUZI!!! Umekosa ya maana ya kuandika? Tangu lini umekuwa mshauri wa vyama vya siasa Nchini!?
😳😳😳😳

Disclaimer;

Mtoa ushauri huu ni mwana CCM anayeamini katika demokrasia. Anaamini CCM imara itatokana na uwepo wa upinzani bora kwa kuwa CCM itapata kioo cha kujitazama, na kufa kwa upinzani kutasababisha CCM isiwe na pa kujipimia na hivyo ubora wake kuyumba.Kama Simba ikipotea kabisa, hatuwezi kuwa na Yanga tunayoijua leo, bali tutakuwa na kitu kingine kabisa.

Hivyo ushauri huu haulengi kusaidia vyama vya upinzani kushinda kiti cha urais Tanzania bara kwa kuwa hilo kwa sasa haliwezekani (kutokana na sababu mbalimbali) lakini angalau kusaida vyama hivyo kubaki kwenye ramani baada ya uchaguzi wa oktoba.

================
‘Facts nne (4) za wazi sana (Hizi ukiona mtu anabisha ni kwa kuwa tu anatumia uhuru wake wa kidemokrasia. Ni kama mtu anavyoweza kubisha kuwa dunia sio duara)

Kwanza, kwa hali ilivyo kuna dalili za wazi sana kwa CHADEMA kupoteza karibu viti vyote vya ubunge bara, na Zbar hawana dalili ya kupata kiti hata kimoja.(ili kuepuka kutanua sana mjadala hatutajadili sababu moja moja kwa kuwa zipo wazi sana tayari)

Pili, ACT wana dalili ya kutopata kiti hata kimoja bara lakini kupata viti kadhaa Zbar

Tatu, kwa upande wa urais bara, Rais Magufuli ana uhakika wa kishinda kwa 99%. Kwa sababu ambazo pia ziko wazi sana. na

Nne, Vyama vya upinzani vyenye ushawishi kiasi kwa bara kwa sasa ni CHADEMA na ACT, wengine ushawishi wao uko chini sana.

Kwa nini CHADEMA wamsimamishe Membe na ACT wasisimamishe mgombea?

Kwanza, Lissu ndie mpinzani pekee anayeweza kum challenge rais Magufuli kwa kiasi fulani, japo pia hawezi kumshinda kwa sababu mbalimbali. Kwa bahati mbaya lisu yuko ulaya na ndege haziruki kutoka ulaya kwa sasa. Kwa hiyo upo uwezekano ukafika wakati wa kuchukua fomu na Lissu kakwama ulaya.

Pili, kuhusu mbowe; kwa tukio lililotokea Dodoma, iwe maelezo yaliyotolewa kwa upande wa polisi ndio kweli au maelezo yaliyotolewa upande wa Mbowe ndio kweli; tukio kama lile kutokea kwenye kipindi hiki linamfanya Mbowe kuonekana hayuko serious vyakutosha na hivyo sio ‘presidential material’.

Tatu , kuhusu Msigwa; Kwa tukio la kumsingizia mzee Kinana kuwa anaua tembo (huku akijua ametunga tu kichwani kwake kwa hila) na asiombe msamaha kwa miaka na miaka hadi ahukumiwe mahakamani huku akijua anasababisha usumbufu usio wa lazima, linamfanya asiwe ‘presidential material’.

Nne, kuhusu Nyalandu; huyu kalelewa na CCM, kawa waziri wa muda mrefu na hana ushawishi wa kutosha kwenye level ya urais Tanzania bara.

Tano, Kuhusu Zitto; kwa sababu mbalimbali kiwango chake cha kuaminika kimepungua kwa sababu mbalimbali. Hivyo, akigombea urais hawezi kupata hata 10% ya kura. Aidha, hataungwa mkono na CHADEMA, na ndani ya ACT hakuna mtu mwingine ambaye ni ‘presidential material’ kwa Tanzania bara anayeweza kuwa na ushawishi zaidi ya Zitto.

Kwa nini Membe?

Kwa sababu ukimuacha Lisu, upande wa vyama vya upinzani hakuna mtu mwingine Tanzania bara mwenye haiba ya urais inayomkaribia Membe. Kwa mantiki hiyo, ijapokuwa Membe hatamshinda Rais Magufuli; angalau atasaidia CHADEMA kujipatia % fulani la kura ambayo itasaidia waendelee kupata ruzuku japo kidogo na uwepo wao uendelee kuonekana.Ikombukwe hapo tayari watakuwa washapoteza viti karibu vyote vya ubunge!

Ingawa ni kweli kwamba Membe bado anaiwazia CCM, lakini ni kweli pia kwamba kwa sasa hana uwezekano tena wa kugombea kupitia CCM. Sasa kwa kuwa tatizo la Tanzania sio CCM kama chama bali mtu mmoja mmoja, CHADEMA wakimtumia Membe ili awabusti sio jambo baya kwa kuwa ana haiba chanya zaidi ukilinganisha na wengine wengi waliotajwa hapo juu.

Kwa upande wa ACT, viti kadhaa watakavyopata Zbar, vitawasaidia kuendelea kuonekana na kupata ka - ruzuku kidogo katakako wasaidia ku ‘savaivu’.

Najua wapo watakaobisha, kutukana, na kubeza ushauri huu, ila ushauri huu unazingatia zaidi ‘facts’ ziwe za kuvutia au za kuudhi. Ni hiari ya wahusika kuufuata na wapate namna yenye uafadhali ya kuendelea ku ‘savaivu’ kwenye kipindi cha 2021 -2025, au wapuuze halafu wawe kama TLP, NLD n.k Kama watapuuza na kufikia hatua hiyo, CCM itakosa pakujitizama hiyo nayo utendaji wake unaweza kuathirika kwa namna hasi na kwa kuwa kitakuwa ndicho chama kinachounda serikali, taifa nalo linaweza kukabiliwa na changamoto kadha wa kadha ambazo pengine zingeepukika kwa kufuata ushauri huu.

Kuna wazo kwamba CCM inaweza ikaamua kuwaachia vyama vya upinzani viti kadhaa kwa makusudi ili viendelee kuwepo. Hiyo ni kweli lakini sishauri vyama vya upinzani kutegemea favor kutoka CCM. Wanaweza wasipewe hiyo favor na ikawagharimu sana.

Mtu anaweza kusema kwa nini vyama vya upinzani visipewe ushauri utakaowawezesha kushinda? Jibu ni kwamba ushauri huo walishapewa sana na kuelezwa kwamba pamoja na changamoto za nje zinazowakabili, changamoto kubwa zinazowakwamisha ziko ndani ya vyama vyao wenyewe. Kwa bahati mbaya hilo hawajaliamini hadi sasa na kwa kuwa hawajaliamini na wanadhani changamoto zinazowakabili ni ‘100% external’; hawajachukua hatua na muda uliobaki ni mfupi mno ambao hauwezi kuwatosha tena. Ndio maana ushauri unaowezekana kwa sasa anagalau ni ule wa kuwawezesha waendelee ku ‘savaivu’ lakini sio kushinda.

Tunawashukuru sana kwa kuelewa.
 
Hebu acha kuandika UPUUZI!!! Umekosa ya maana ya kuandika? Tangu lini umekuwa mshauri wa vyama vya siasa Nchini!?
😳😳😳😳
Sio kwamba ndio demokrasia? au demokrasia wewe unaielewa tofauti? au wewe huamini kwenye demokrasia na uhuru wa watu? demokrasia ni kutoa mawazo ya maana kama yako na kuvumilia wanaotoa mawazo ya kipuuzi kama yangu. Ukitaka wote watoe mawazo kama yako 'kwa kuwa ndio ya maana' huo ni udikteta.
 
Mfano, ikatokea huko CHADEMA wenyewe wakamkata jina Lissu, halafu mtu akajenga hoja kuwa CHADEMA ni CCM B? mtu huyo atakuwa yuko sahihi, au na yeye atakuwa anajaribu kuleta 'confusion?'

Wakati fulani kuna watu wanatamani vitu, halafu wanadhani wanavyovitamani ndivyo vilivyo lakini kumbe vilivyo katika uhalisia wake ni tofauti kabisa. Pamoja na kutamani, ni muhumu kuangalia vitu katika jicho pana zaidi.

1. Ndugu, hujakatazwa kuandika kutoa maoni yako kama ambavyo wengine hatujafungwa breki pia....

2. Lakini pia ni heri yako wewe umejiweka wazi kabisa kuwa ni mwana CCM unayewashauri mazuri CHADEMA. Hilo nalo halina ubaya, lakini tunaujadili ushauri wako huo...

3. Kwa upande wangu, mimi siyo mwanachama wa CCM wala wa CHADEMA. Ila naunga mkono mabadiliko ya uongozi wa taifa hili kutoka CCM na kwenda chama kingine. Binafsi, naamini CHADEMA wanaweza kutupa uongozi makini. Kwa hiyo mimi ni mpenzi na shabiki wa chama hiki. Ninakiunga mkono....

4. Hii mbinu yenu ikifanikiwa na ikatokea kweli CHADEMA wakafanya kosa hilo la si tu kumkata Tundu Lissu bali kuwatupa wagombea wanachama wao watiifu na waaminifu wote waliotia nia na kumkaribisha mgeni toka CCM kama ulivyopendekeza, itakuwa ni wao kwa sababu, binadamu yeyote mwisho wa siku huwa ni lazima achague mojawapo ya options nyingi zilizo mbele yake; DEATH or LIFE; WRONG or RIGHT...

5. Ukichagua KOSA au KIFO, basi unatakiwa kuyaishi matokeo ya kile ulichokichagua. Ukichagua KOSA lenye madhara hasi kwako hautakuwa tu umesababisha CONFUSION bali tayari utakuwa uko CONFUSED na hata wakiitwa CCM "B", ni sawa kwa maana watakuwa wanastahili kwa sababu wamependa wenyewe iwe hivyo kutokana na uchaguzi wao.....!!

6. Ndiyo maana sisi wengine, tunawaambia WASIFANYE MAKOSA HAYA ya kufuata ushauri wako. Wanao watu tayari waliokwisha tia nia. Waende na hao hadi mwisho. Nchi hii ya Tanzania na watu wake ni mali ya Mungu muumba. Kama huu ndiyo mwisho wa utawala wa CCM na Mungu akaamua hivyo, basi yeye (Mungu) ndiye atasimamia mabadiliko haya. Na kwa mantiki hii kumbe basi, hata Peter Msigwa anaweza kuwa Rais bora kabisa wa nchi hii. Ni kwa sababu Mungu hapangiwi cha kufanya. Yeye hufanya kwa namna yake mwenyewe. Huweza kuvitumia vitu vinyonge kabisa kwa ajili ya utukufu wake na kuviaibisha vile vinavyoonekana vyenye nguvu na heshima..!!
 
Kwa aina ya upinzani tulionao wa skendo na kupinga kila kitu ni bora ufe ila tuimarishe na tutoe uhuru wa kutosha kwa vyombo vya habari na taasisi za kiraia za haki za binadamu ziweze kuikosoa na kuisurubu serikali bila uoga
 
mkuu Kitaturu kwa nini unadhani kwenye mazingira ya Tanzania ya sasa, CHADEMA inaweza kuongoza nchi vizuri kuliko CCM? au unaamini tu kama Imani zingine? yaani kama mtu anavyoweza kuamini tu kwamba mtoni kuna majini usiku! au kuna viashiria flani ambavyo unavitumia kufikia hitimisho hilo?
 
mkuu Kitaturu kwa nini unadhani kwenye mazingira ya Tanzania ya sasa, CHADEMA inaweza kuongoza nchi vizuri kuliko CCM? au unaamini tu kama Imani zingine? yaani kama mtu anavyoweza kuamini tu kwamba mtoni kuna majini usiku! au kuna viashiria flani ambavyo unavitumia kufikia hitimisho hilo?

Sijui hata una maana gani kwanza kuniuliza swali hili. Labda naweza kuelewa unakoelekea...

Nitakujibu hivi:

Na wewe kwanini huamini kuwa CHADEMA ama ACT Wazalendo ama NCCR Mageuzi ama chama kingine chochote hakiwezi kuongoza nchi hii?

Mimi "NAAMINI" kwa sababu nina "IMANI" . Na wewe una "UNAOGOPA" kwa sababu umejengwa juu ya "HOFU" ya mabadiliko....

Na ofcoz ni kwa sababu tu umeizoea CCM. Na kwa kweli nikikuuliza kwanini unadhani CCM ni vyema kuendelea kuongoza nchi hii, naamini sababu zitakuwa ni zilezile zilizo katika msingi wa "HOFU" yako/yenu. Hamuwezi kuwa sababu nyingine zozote za maana...

And may be you might be right kwa sbb ndivyo mlivyo...

Ninyi mtakuwa mmesahau kitu kimoja ama viwili;

MOSI; CHADEMA ni chama cha siasa kama kilivyo CCM. Kina watu mamilioni wanachama na wapenzi kama ilivyo kwa ama pengine kuliko CCM. Sasa kwanini kishindwe kuongoza nchi?

PILI; hakuna wakati uliokuwa mgumu na wenye changamoto lukuki kama wakati nchi hii inapata Uhuru mwaka 1961 na waafrika tunachukua jukumu la kujitawala wenyewe toka kwa mzungu mwingireza...

Wapo waliokuwa na HOFU na MASWALI yaliyojaa mashaka na kutojiamini kama haya yako unayoniuliza mimi leo. Lakini hali ilikuwaje? Ndivyo hivi tupo hapa leo, ndivyo hivi tulivyo leo....

Sasa leo unaniuliza swali hili ktk nyakati hizi?

Kwani ugumu uko wapi? Kama tumeweza kuongozwa na Magufuli maana yake anyone from any where anaweza kuongoza nchi hii....

Dola (kwa maana ya Jeshi, Polisi, magereza, TISS, mahakama nk ) haibadiliki, ni walewale. Wao hawajali chama gani kimeunda serikali. Watafanya kazi na awaye yeyote...

Kinachobadilika kwa vyombo hivi baada ya serikali mpya kuingia madarakani na wakipenda kufanya hivyo ni MUUNDO na MIFUMO ya uendeshaji vyombo hivi, basi hakuna kingine....

Yaani kuongoza nchi yenye katiba hata MGOMBEA HURU asiye na chama chochote cha siasa akishinda anaweza kuunda serikali na nchi ikaenda kwa uzuri na ubora kabisa kuliko hivi ilivyo chini ya CCM....
 
Sijui hata una maana gani kwanza kuniuliza swali hili. Labda naweza kuelewa unakoelekea...

Nitakujibu hivi:

Na wewe kwanini huamini kuwa CHADEMA ama ACT Wazalendo ama NCCR Mageuzi ama chama kingine chochote hakiwezi kuongoza nchi hii?

Mimi "NAAMINI" kwa sababu nina "IMANI" . Na wewe una "UNAOGOPA" kwa sababu umejengwa juu ya "HOFU" ya mabadiliko....

Na ofcoz ni kwa sababu tu umeizoea CCM. Na kwa kweli nikikuuliza kwanini unadhani CCM ni vyema kuendelea kuongoza nchi hii, naamini sababu zitakuwa ni zilezile zilizo katika msingi wa "HOFU" yako/yenu. Hamuwezi kuwa sababu nyingine zozote za maana...

And may be you might be right kwa sbb ndivyo mlivyo...

Ninyi mtakuwa mmesahau kitu kimoja ama viwili;

MOSI; CHADEMA ni chama cha siasa kama kilivyo CCM. Kina watu mamilioni wanachama na wapenzi kama ilivyo kwa ama pengine kuliko CCM. Sasa kwanini kishindwe kuongoza nchi?

PILI; hakuna wakati uliokuwa mgumu na wenye changamoto lukuki kama wakati nchi hii inapata Uhuru mwaka 1961 na waafrika tunachukua jukumu la kujitawala wenyewe toka kwa mzungu mwingireza...

Wapo waliokuwa na HOFU na MASWALI yaliyojaa mashaka na kutojiamini kama haya yako unayoniuliza mimi leo. Lakini hali ilikuwaje? Ndivyo hivi tupo hapa leo, ndivyo hivi tulivyo leo....

Sasa leo unaniuliza swali hili ktk nyakati hizi?

Kwani ugumu uko wapi? Kama tumeweza kuongozwa na Magufuli maana yake anyone from any where anaweza kuongoza nchi hii....

Dola (kwa maana ya Jeshi, Polisi, magereza, TISS, mahakama nk ) haibadiliki, ni walewale. Wao hawajali chama gani kimeunda serikali. Watafanya kazi na awaye yeyote...

Kinachobadilika kwa vyombo hivi baada ya serikali mpya kuingia madarakani ni MUUNDO na MIFUMO ya uendeshaji vyombo hivi....
Umemjibu vzr mnooo..sidhni Kama ataendelea na huu mjadala...aisee ubarikiwe sana
 
Sijui hata una maana gani kwanza kuniuliza swali hili. Labda naweza kuelewa unakoelekea...

Nitakujibu hivi:

Na wewe kwanini huamini kuwa CHADEMA ama ACT Wazalendo ama NCCR Mageuzi ama chama kingine chochote hakiwezi kuongoza nchi hii?

Mimi "NAAMINI" kwa sababu nina "IMANI" . Na wewe una "UNAOGOPA" kwa sababu umejengwa juu ya "HOFU" ya mabadiliko....
Hatusemi kwamba Vyama vya upinzani havitaweza kuongoza bali tunasema ufanisi wao utakuwa wa chini sana ukilinganisha na wa CCM. Hili hatusemi tu kwa kuwa tunataka kusema bali kwa viashiria vya wazi sana. Nitatoa mifano michache;

Kwa mfano, tunaona kwenye vyama hivyo, vinashindwa ku control vitu vidogo sana vilivyo ndani ya uwezo wao. Kwa mfano Chadema kwa zaidi ya miaka 20, imeshindwa angalau tu kujenga ofisi ya makao makuu, sasa jiulize kama hilo tu limewashinda, kwa nini tudhani wataweza kuongoza nchi kwa ufanisi zaidi ya CCM?

Kwenye vyama vya upinzani havina dola ila kuna viongozi wanang'ang'ania madarakani, kwa nini tudhani wakiwa na dola hawatang'ang'ania?

Kuna viongozi wametoka huko wakahamia ccm na wakapewa madaraka mbalimbali serikalini, ufanisi wao, hekima na burasa zao tunaziona, na hiyo ndio reflection ya ambavyo ingekuwa ikiwa vyama walikotoka vingekuwa madarakani.

Kwa hiyo hatusemi haviwezi, tunachosema vitakuwa na ufanisi wa chini kuliko CCM kutokana na evidence zilizopo na kwa mantiki hiyo ndio maana tunafikiri bado CCM ni 'comparatively better' hadi sasa na pamoja na vyama hivyo kushauriwa sana kujifanyia maboresho ya ndani ili angalau hata vifikie level ya ccm, bado havijaweza kufanya hivyo.
 
Hatusemi kwamba Vyama vya upinzani havitaweza kuongoza bali tunasema ufanisi wao utakuwa wa chini sana ukilinganisha na wa CCM. Hili hatusemi tu kwa kuwa tunataka kusema bali kwa viashiria vya wazi sana. Nitatoa mifano michache;

Kwa mfano, tunaona kwenye vyama hivyo, vinashindwa ku control vitu vidogo sana vilivyo ndani ya uwezo wao. Kwa mfano Chadema kwa zaidi ya miaka 20, imeshindwa angalau tu kujenga ofisi ya makao makuu, sasa jiulize kama hilo tu limewashinda, kwa nini tudhani wataweza kuongoza nchi kwa ufanisi zaidi ya CCM?

Kwenye vyama vya upinzani havina dola ila kuna viongozi wanang'ang'ania madarakani, kwa nini tudhani wakiwa na dola hawatang'ang'ania?

Kuna viongozi wametoka huko wakahamia ccm na wakapewa madaraka mbalimbali serikalini, ufanisi wao, hekima na burasa zao tunaziona, na hiyo ndio reflection ya ambavyo ingekuwa ikiwa vyama walikotoka vingekuwa madarakani.

Kwa hiyo hatusemi haviwezi, tunachosema vitakuwa na ufanisi wa chini kuliko CCM kutokana na evidence zilizopo na kwa mantiki hiyo ndio maana tunafikiri bado CCM ni 'comparatively better' hadi sasa na pamoja na vyama hivyo kushauriwa sana kujifanyia maboresho ya ndani ili angalau hata vifikie level ya ccm, bado havijaweza kufanya hivyo.
Kitaturu kakujibu vzr mnooo..sikutegemea Kama ungelisongesha...yaani kamaliza kila kitu
 
Acha kuonyesha UJUHA wako hadharani kwa akili ya KUFIKIRIKA. Hivi ccm ina UFANISI upi kwenye sekta gani?

Miaka 60 madarakani na Watanzania hatuna chochote kile cha kujivunia si elimu, afya, ajira, uchumi, kufaidika na rasilimali za nchi. Hovyo hovyo mwanzo mwisho halafu unadai ccm ina ufanisi! 😳😳😳

Umetumia vigezo gani kupima ufanisi wa vyama vya upinzani ambavyo havijawahi kushika madaraka? Au UMEKURUPUKA tu na dhana yako POTOFU!?

Hatusemi kwamba Vyama vya upinzani havitaweza kuongoza bali tunasema ufanisi wao utakuwa wa chini sana ukilinganisha na wa CCM. Hili hatusemi tu kwa kuwa tunataka kusema bali kwa viashiria vya wazi sana. Nitatoa mifano michache;

Kwa mfano, tunaona kwenye vyama hivyo, vinashindwa ku control vitu vidogo sana vilivyo ndani ya uwezo wao. Kwa mfano Chadema kwa zaidi ya miaka 20, imeshindwa angalau tu kujenga ofisi ya makao makuu, sasa jiulize kama hilo tu limewashinda, kwa nini tudhani wataweza kuongoza nchi kwa ufanisi zaidi ya CCM?

Kwenye vyama vya upinzani havina dola ila kuna viongozi wanang'ang'ania madarakani, kwa nini tudhani wakiwa na dola hawatang'ang'ania?

Kuna viongozi wametoka huko wakahamia ccm na wakapewa madaraka mbalimbali serikalini, ufanisi wao, hekima na burasa zao tunaziona, na hiyo ndio reflection ya ambavyo ingekuwa ikiwa vyama walikotoka vingekuwa madarakani.

Kwa hiyo hatusemi haviwezi, tunachosema vitakuwa na ufanisi wa chini kuliko CCM kutokana na evidence zilizopo na kwa mantiki hiyo ndio maana tunafikiri bado CCM ni 'comparatively better' hadi sasa na pamoja na vyama hivyo kushauriwa sana kujifanyia maboresho ya ndani ili angalau hata vifikie level ya ccm, bado havijaweza kufanya hivyo.
 
Mkuu, 'voluntary actions' zote mtu anakuwa anazitambua kabla hata ya kuzifanya. Kwa hiyo wakati mtu anafanya, anakuwa alishatambua tayari. Kwa mfano, wewe ulijua unachotaka kukiandika hapa kabla ya kukiandika. ukiamua kupiga mtu ngumi, unakuwa unajua kwamba sasa unarusha ngumi kabla ya kurusha.

kitu unachoweza kujitetea kuwa hukujua au ulichelewa kujua ni 'involuntary actions' au vitu usivyokuwa na ujuzi navyo wakutosha, au madhara unayosababisha kwa mwingine bila kukusudia. Na hili nafikiri liko wazi na hata mhusika analijua vyema. Na nadhani kuna vitu hatupaswi kuvitetea maana tunapovitetea tunawapa confidence wahusika kuvifanya tena na tena, na ni kwa mantiki hiyo tumekuwa tukisema, mambo mengi yakutatanisha yanayofanywa na baadhi ya wanasiasa, yanafanywa kwa sababu nyuma yao wapo wanaowatetea mambo hayo.
Hapa cha msingi ni kutambua anachofanya (kumsema Kinana) kilikuja wakati gani, usitake kunilazimisha niamini Msigwa alijua anakosea toka mwanzo, hiyo itabaki kuwa ni siri yake mwenyewe. Ninachoamini mimi ni kwamba Msigwa alijua kakosea baada ya mahakama kupinga utetezi wake, ndio akatakiwa kuomba samahani, na ndicho alichofanya.
 
Disclaimer;

Mtoa ushauri huu ni mwana CCM anayeamini katika demokrasia. Anaamini CCM imara itatokana na uwepo wa upinzani bora kwa kuwa CCM itapata kioo cha kujitazama, na kufa kwa upinzani kutasababisha CCM isiwe na pa kujipimia na hivyo ubora wake kuyumba.Kama Simba ikipotea kabisa, hatuwezi kuwa na Yanga tunayoijua leo, bali tutakuwa na kitu kingine kabisa.

Hivyo ushauri huu haulengi kusaidia vyama vya upinzani kushinda kiti cha urais Tanzania bara kwa kuwa hilo kwa sasa haliwezekani (kutokana na sababu mbalimbali) lakini angalau kusaida vyama hivyo kubaki kwenye ramani baada ya uchaguzi wa oktoba.

================
‘Facts nne (4) za wazi sana (Hizi ukiona mtu anabisha ni kwa kuwa tu anatumia uhuru wake wa kidemokrasia. Ni kama mtu anavyoweza kubisha kuwa dunia sio duara)

Kwanza, kwa hali ilivyo kuna dalili za wazi sana kwa CHADEMA kupoteza karibu viti vyote vya ubunge bara, na Zbar hawana dalili ya kupata kiti hata kimoja.(ili kuepuka kutanua sana mjadala hatutajadili sababu moja moja kwa kuwa zipo wazi sana tayari)

Pili, ACT wana dalili ya kutopata kiti hata kimoja bara lakini kupata viti kadhaa Zbar

Tatu, kwa upande wa urais bara, Rais Magufuli ana uhakika wa kishinda kwa 99%. Kwa sababu ambazo pia ziko wazi sana. na

Nne, Vyama vya upinzani vyenye ushawishi kiasi kwa bara kwa sasa ni CHADEMA na ACT, wengine ushawishi wao uko chini sana.

Kwa nini CHADEMA wamsimamishe Membe na ACT wasisimamishe mgombea?

Kwanza, Lissu ndie mpinzani pekee anayeweza kum challenge rais Magufuli kwa kiasi fulani, japo pia hawezi kumshinda kwa sababu mbalimbali. Kwa bahati mbaya lisu yuko ulaya na ndege haziruki kutoka ulaya kwa sasa. Kwa hiyo upo uwezekano ukafika wakati wa kuchukua fomu na Lissu kakwama ulaya.

Pili, kuhusu mbowe; kwa tukio lililotokea Dodoma, iwe maelezo yaliyotolewa kwa upande wa polisi ndio kweli au maelezo yaliyotolewa upande wa Mbowe ndio kweli; tukio kama lile kutokea kwenye kipindi hiki linamfanya Mbowe kuonekana hayuko serious vyakutosha na hivyo sio ‘presidential material’.

Tatu , kuhusu Msigwa; Kwa tukio la kumsingizia mzee Kinana kuwa anaua tembo (huku akijua ametunga tu kichwani kwake kwa hila) na asiombe msamaha kwa miaka na miaka hadi ahukumiwe mahakamani huku akijua anasababisha usumbufu usio wa lazima, linamfanya asiwe ‘presidential material’.

Nne, kuhusu Nyalandu; huyu kalelewa na CCM, kawa waziri wa muda mrefu na hana ushawishi wa kutosha kwenye level ya urais Tanzania bara.

Tano, Kuhusu Zitto; kwa sababu mbalimbali kiwango chake cha kuaminika kimepungua kwa sababu mbalimbali. Hivyo, akigombea urais hawezi kupata hata 10% ya kura. Aidha, hataungwa mkono na CHADEMA, na ndani ya ACT hakuna mtu mwingine ambaye ni ‘presidential material’ kwa Tanzania bara anayeweza kuwa na ushawishi zaidi ya Zitto.

Kwa nini Membe?

Kwa sababu ukimuacha Lisu, upande wa vyama vya upinzani hakuna mtu mwingine Tanzania bara mwenye haiba ya urais inayomkaribia Membe. Kwa mantiki hiyo, ijapokuwa Membe hatamshinda Rais Magufuli; angalau atasaidia CHADEMA kujipatia % fulani la kura ambayo itasaidia waendelee kupata ruzuku japo kidogo na uwepo wao uendelee kuonekana.Ikombukwe hapo tayari watakuwa washapoteza viti karibu vyote vya ubunge!

Ingawa ni kweli kwamba Membe bado anaiwazia CCM, lakini ni kweli pia kwamba kwa sasa hana uwezekano tena wa kugombea kupitia CCM. Sasa kwa kuwa tatizo la Tanzania sio CCM kama chama bali mtu mmoja mmoja, CHADEMA wakimtumia Membe ili awabusti sio jambo baya kwa kuwa ana haiba chanya zaidi ukilinganisha na wengine wengi waliotajwa hapo juu.

Kwa upande wa ACT, viti kadhaa watakavyopata Zbar, vitawasaidia kuendelea kuonekana na kupata ka - ruzuku kidogo katakako wasaidia ku ‘savaivu’.

Najua wapo watakaobisha, kutukana, na kubeza ushauri huu, ila ushauri huu unazingatia zaidi ‘facts’ ziwe za kuvutia au za kuudhi. Ni hiari ya wahusika kuufuata na wapate namna yenye uafadhali ya kuendelea ku ‘savaivu’ kwenye kipindi cha 2021 -2025, au wapuuze halafu wawe kama TLP, NLD n.k Kama watapuuza na kufikia hatua hiyo, CCM itakosa pakujitizama hiyo nayo utendaji wake unaweza kuathirika kwa namna hasi na kwa kuwa kitakuwa ndicho chama kinachounda serikali, taifa nalo linaweza kukabiliwa na changamoto kadha wa kadha ambazo pengine zingeepukika kwa kufuata ushauri huu.

Kuna wazo kwamba CCM inaweza ikaamua kuwaachia vyama vya upinzani viti kadhaa kwa makusudi ili viendelee kuwepo. Hiyo ni kweli lakini sishauri vyama vya upinzani kutegemea favor kutoka CCM. Wanaweza wasipewe hiyo favor na ikawagharimu sana.

Mtu anaweza kusema kwa nini vyama vya upinzani visipewe ushauri utakaowawezesha kushinda? Jibu ni kwamba ushauri huo walishapewa sana na kuelezwa kwamba pamoja na changamoto za nje zinazowakabili, changamoto kubwa zinazowakwamisha ziko ndani ya vyama vyao wenyewe. Kwa bahati mbaya hilo hawajaliamini hadi sasa na kwa kuwa hawajaliamini na wanadhani changamoto zinazowakabili ni ‘100% external’; hawajachukua hatua na muda uliobaki ni mfupi mno ambao hauwezi kuwatosha tena. Ndio maana ushauri unaowezekana kwa sasa anagalau ni ule wa kuwawezesha waendelee ku ‘savaivu’ lakini sio kushinda.

Tunawashukuru sana kwa kuelewa.
Usituletee uchuro CDM haiingii chaka.
Kama umetumwa waambie sikuwakuta!!
 
My brain is complex baby, you don't even know what you are talking about, stay away from me.

Halafu, it's; you are, not your, wacha kiherehere.
Nashukuru umenielewa na ndio maana ukajibu.

Mara ya mwisho nimeitwa baby baada ya kumbanjua demu mmoja mkali usiku kucha, today is the second time

Thanks sweetie
 
Back
Top Bottom