Mlongachalo
Member
- Jun 19, 2016
- 37
- 14
Habari wandugu,
Kuna mwanamke analazimisha mahusiano ya mimi na yeye tuwe pamoja na ikibidi nimuone. Ila cha kushangaza napokutana nae kupiga stori mbili tatu yeye anatoka kwenye point ya mazungumzo na kuaanza kutaka tufanye mapenzi. Huwa najitahidi kumkatalia lakini ananibembeleza mpaka mwisho nabidi nimgegede. Kumbuka huyu mwanamke anamtoto na ni single mother.
Nifupishe tu huyu mwanamke ni mrembo lakini tatizo lake tu ni kwamba ananuka mdomo na huwezi hata kula denda nae ile hali yeye wakati wa kuduu mbwebwe nyingi mara ulimi anataka kukuingizia mdomoni yani ni tabu tu kweli napata kinyaa na hata hisia zinapotea wakati nipo nashughulika.
Tatizo la mdomo kumbuka ni nini chanzo?
Ushauri wakuu.
Kuna mwanamke analazimisha mahusiano ya mimi na yeye tuwe pamoja na ikibidi nimuone. Ila cha kushangaza napokutana nae kupiga stori mbili tatu yeye anatoka kwenye point ya mazungumzo na kuaanza kutaka tufanye mapenzi. Huwa najitahidi kumkatalia lakini ananibembeleza mpaka mwisho nabidi nimgegede. Kumbuka huyu mwanamke anamtoto na ni single mother.
Nifupishe tu huyu mwanamke ni mrembo lakini tatizo lake tu ni kwamba ananuka mdomo na huwezi hata kula denda nae ile hali yeye wakati wa kuduu mbwebwe nyingi mara ulimi anataka kukuingizia mdomoni yani ni tabu tu kweli napata kinyaa na hata hisia zinapotea wakati nipo nashughulika.
Tatizo la mdomo kumbuka ni nini chanzo?
Ushauri wakuu.